akihutubia maelfu ya waislamu katika viwanja vya kidongo chekundu jijini dar es salam,katika kuhitimisha maandamano ya kupinga filamu ya kumkashifu mtume, shekh Ponda aliuwambia umma wa waislamu waliokuwa wakimsikiliza kwa makini wajiendae kwa maandamano makubwa na ya kisayansi ya kwenda kumg'oa Ndalichako NECTA ,kwa kuwa ameshindwa kazi .........na watu wote walio kuwepo uwanjani hapo, walimuunga mkono kwa kunyoosha mikono juu.
TUKIWEKA UDINI KANDO........KWA HILI SHEKH PONDA ALIONA MBALI!!!, WALAU AUNGWE MKONO KWA HILI.
TUKIWEKA UDINI KANDO........KWA HILI SHEKH PONDA ALIONA MBALI!!!, WALAU AUNGWE MKONO KWA HILI.