Kwa upande wangu huwa nawaona wanao zipinga dini za uislamu na ukristo kama binadamu walio firisika akili

Kwa upande wangu huwa nawaona wanao zipinga dini za uislamu na ukristo kama binadamu walio firisika akili

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Kumradhi kama kuna ambaye nitamkwaza lakini huu ndio ukweli

Watu wengi wamekuwa na kasumba hii......
Anauchukia uislamu ama ukristo kwa sababu tu asili yake sio Afrika na badala yake ni dini zilizo letwa tu
At the same time anasema sijui dini zetu za asili tunazikataa na kuziona hazifai (Ukimwambia akutajie hio dini yake ya asili ni ipi, anakutolea tu macho)

Dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu ambao Mwenyezi Mungu ameuleta kwetu wanaadamu......

Na kila kitu kina chanzo/origin ndio kisambae kwa wengine...
Sasa sidhani kama ingekuwa possible uislamu au ukristo kuanzishwa kila sehemu duniani (Ilikuwa ianzie sehemu then isambae kote)

Sasa wanaopinga na kusema mara sijui zimeletwa na majahazi nawashangaa sana

Kama huzitaki usilazimishe watu wafate ujinga wako ...we nenda katambikie mibuyu na makaburi hamna atakaye kusumbua.

Allahu akbar......bwana yesu asifiwe

Mufti kuku The Infinity
 
Kwa hiyo unavyotumia majina ya kizungu na kuabudu mizimu yao ni ufahari? Zingatia kilinge chako cha asili na dumisha Mila za mababu zetu. Mf. Wakati wa ukame wazee walitambika na mvua inanyesha, sasa chukuwa Biblia piga magoti mpaka yachubuke kama mvua itanyesha.
 
Kwa hiyo unavyotumia majina ya kizungu na kuabudu mizimu yao ni ufahari? Zingatia kilinge chako cha asili na dumisha Mila za mababu zetu. Mf. Wakati wa ukame wazee walitambika na mvua inanyesha, sasa chukuwa Biblia piga magoti mpaka yachubuke kama mvua itanyesha.
Akili ako finyu. Bora ya nzi anaye jua chakula chake.
 
Mtalaamu, naomba kujua, ni mungu yule yule mmoja ambae alianzisha dini za kiislamu na kikristo na kutaka zisambae kwa watu ama ni miungu 2 tofauti?

Natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa mkuu.
 
Mtalaamu, naomba kujua, ni mungu yule yule mmoja ambae alianzisha dini za kiislamu na kikristo na kutaka zisambae kwa watu ama ni miungu 2 tofauti?

Natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa mkuu.
Mungu mmoja hawezi kuanzisha/kuleta dini 2 tofauti
Shukrani pia mkuu
 
Mungu mmoja hawezi kuanzisha/kuleta dini 2 tofauti
Shukrani pia mkuu
Basi tunarudi pale pale wanaizarau hizi dini wana hoja. Ni eitha zote ni za uongo ana moja ni ya uongo na itakayobaki ina uongo 80% na ukweli 20 na hivyo kuzifanya zote kua za uongo maana hakuna mungu mwenye akili ataweza kutoa maelekezo ama maagizo kama yaliyoko kwenye Quran ama biblia, hakuna.

Hoja inabaki pale pale hizi dini ni za kuachana nazo. Ni dini za kitapeli Mungu hayupo.
 
Kumradhi kama kuna ambaye nitamkwaza lakini huu ndio ukweli

Watu wengi wamekuwa na kasumba hii......
Anauchukia uislamu ama ukristo kwa sababu tu asili yake sio Afrika na badala yake ni dini zilizo letwa tu
At the same time anasema sijui dini zetu za asili tunazikataa na kuziona hazifai (Ukimwambia akutajie hio dini yake ya asili ni ipi, anakutolea tu macho)

Dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu ambao Mwenyezi Mungu ameuleta kwetu wanaadamu......

Na kila kitu kina chanzo/origin ndio kisambae kwa wengine...
Sasa sidhani kama ingekuwa possible uislamu au ukristo kuanzishwa kila sehemu duniani (Ilikuwa ianzie sehemu then isambae kote)

Sasa wanaopinga na kusema mara sijui zimeletwa na majahazi nawashangaa sana

Kama huzitaki usilazimishe watu wafate ujinga wako ...we nenda katambikie mibuyu na makaburi hamna atakaye kusumbua.

Allahu akbar......bwana yesu asifiwe

Mufti kuku The Infinity
Ni watu wenye uwezo mdogo sana wa fikra na mara nyingi km sio zote ni masikini wa kutupwa..
 
Kwa hiyo unavyotumia majina ya kizungu na kuabudu mizimu yao ni ufahari? Zingatia kilinge chako cha asili na dumisha Mila za mababu zetu. Mf. Wakati wa ukame wazee walitambika na mvua inanyesha, sasa chukuwa Biblia piga magoti mpaka yachubuke kama mvua itanyesha.
Hata elimu unayosoma ni ya wazungu, magari, simu vyote hivyo ni vya wazungu acha unafki
 
Basi tunarudi pale pale wanaizarau hizi dini wana hoja. Ni eitha zote ni za uongo ana moja ni ya uongo na itakayobaki ina uongo 80% na ukweli 20 na hivyo kuzifanya zote kua za uongo maana hakuna mungu mwenye akili ataweza kutoa maelekezo ama maagizo kama yaliyoko kwenye Quran ama biblia, hakuna.

Hoja inabaki pale pale hizi dini ni za kuachana nazo. Ni dini za kitapeli Mungu hayupo.
Kama mtu ataamua kutozifuata kwa kigezo hiki ni sawa (juu yake)
Lakini asitumie kisingizio cha kuwa ni dini za kuja tu
 
Hivi wewe mwenye akili, unaamini kabisa kuwa huko peponinutapewa wanawake bikira 72? Huna akili.
 
Swali la msingi
Mtalaamu, naomba kujua, ni mungu yule yule mmoja ambae alianzisha dini za kiislamu na kikristo na kutaka zisambae kwa watu ama ni miungu 2 tofauti?

Natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa mkuu.
 
Mtalaamu, naomba kujua, ni mungu yule yule mmoja ambae alianzisha dini za kiislamu na kikristo na kutaka zisambae kwa watu ama ni miungu 2 tofauti?

Natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa mkuu.
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu. Mungu hakuleta dini wala hana dini.
Ndiyo maana matendo ya mwanadamu bado hayajifichi kwenye hizi dini.
 
Back
Top Bottom