Nani kasema simba wanamuacha kotei, ndugu usajili kwanza ndio umeanza!! Usiwasikilize akina oscar au kitenge!! Fuatilia official page ya klabuKama kweli Simba wana mpango wa kuacha kumsajili Kotei wajue yatawakuta yale yale ya Hamisi Tambwe. Kotei anaweza kucheza kiungo mkabaji, beki wa kati, beki wa pembeni na kiungo mshambuliaji. Na kote anacheza vizuri sana. Kotei anapora mipira sana kitu ambacho viungo wengi wa ligi kuu hawana labda kidogo namuona Fei Toto anakuja vizuri.
Na yule beki wa Singida nae ni International Player?
Kwa hiyo mmeamua kuja na staili ya kusajili wasiojulikana siyo!
Mayala Tyombana mogange ndezu, unafikiri sijui nini ulikusudia kuleta uzi huu kwa hadhira?
Simba ni professional team with a professional directors haifanyi vitu kizamani, wewe sijui msukuma wa wapi mshamba
Mayala Tyombana mogange ndezu, unafikiri sijui nini ulikusudia kuleta uzi huu kwa hadhira?
Simba ni professional team with a professional directors haifanyi vitu kizamani, wewe sijui msukuma wa wapi mshamba
Ha ha ha ha sawa wazee Wa international playersWewe hujui mpira sibishani nawewe huenda hujui hata maana ya international player
Ha ha ha ha sawa wazee Wa international players
Boda Boda fcmikia FC.
MEDIE KAGERE NI U20Aman itamalaki
Kwa usajil huu unaoendelea pale msimbazi kisajili wachezaji wasio na mbele wala nyuma na kuwaongezea mikataba wachezaji waliojichokea basi simba poleni sana
Kocha mtamfukuza mapema sana
Uzi ubaki hadi mwisho wa musimu
Lakin mtakuwa wanyonge sana na wateja wa kila team
Mayala B
MEDIE KAGERE NI U20
Hii imetulia zaidi.Boda Boda fc
[/QUOTE]Ndo asha achwa
Nani kasema simba wanamuacha kotei, ndugu usajili kwanza ndio umeanza!! Usiwasikilize akina oscar au kitenge!! Fuatilia official page ya klabu
Vipi Kotei bado ni Mali ya Simba eti.Nani kasema simba wanamuacha kotei, ndugu usajili kwanza ndio umeanza!! Usiwasikilize akina oscar au kitenge!! Fuatilia official page ya klabu
Vipi Kotei bado ni Mali ya Simba eti.
Ndiyo wewe hujui? Amesaini kandarasi ya miaka 0 , we uko wapi? Watakucheka watu!Vipi Kotei bado ni Mali ya Simba eti.