Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe CHADEMA au ACT-Wazalendo, ahamie CCM tu

Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe CHADEMA au ACT-Wazalendo, ahamie CCM tu

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu. Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake

Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda

Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake

Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa

Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki

Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
 
CCM kama chama tawaka vyeo viko vingi sio lazima tu vya kisiasa aweza pewa hata ujaji,nk

Upinzani nafasi finyu kwake
Ndo hivyo labda apate sehemu ya kula, ila kisiasa ndo atakua ameshajimaliza
 
Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu

Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake

Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda

Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake

Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa

Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki

Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
Na hii inatokana na ukweli kuwa Vyama vya siasa Tanzania havipo serious kuidondosha CCM ili vitwae madaraka. Vipo kama project za pesa za watu wachache. Ukionekana upo serious kuindoa CCM utakuwa adui. Wapo watu wanataka tu kuwa wabunge sio kuindoa CCM.

Mfano Sugu, anataka tu kuwa mbunge mwisho atakuonyesha hotel yake basi. Lissu aanzishe chama.Pia Mbowe yupo kuwa, permanent chairman. Ili apate pesa za ruzuku., pesa za wabunge kama one million per month for each MP. Watanzania msiwapigie kura CDM vuten muda Lissu aanzishe chama.
 
Siasa za Africa hazieleweki
Kuhama chama ni jambo la kawaida kwao, ila kwa wenzetu ni vigumu sana bora kujiuzulu siasa kuliko kuhama
Mbona mpira hawahami?
 
Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda
CHADEMA hakuna kambi kuna CHADEMA kama CHADEMA,makambi yako CCM.
 
Lissu na Chadema ni maji na samaki future yake ni kubwa na ndiyo kete kubwa ya CDM 2025. Atamsumbua sana mama
 
Na hii inatokana na ukweli kuwa Vyama vya siasa Tanzania havipo serious kuidondosha CCM ili vitwae madaraka. Vipo kama project za pesa za watu wachache. Ukionekana upo serious kuindoa CCM utakuwa adui. Wapo watu wanataka tu kuwa wabunge sio kuindoa CCM.
Watu walikuwa wanashinda jela kwa ajili kutaka kuiondoa CCM madarakani ndio useme kuwa hawako serious kuindoa CCM madarakani?watu wanaimba kila siku kuhusu katiba mpya itakayotoa mwanya wa kuiondoa CCM madarakani unasema kuwa hawako serious kuiondoa CCM madarakani?.

CCM wanajua kabisa kuwa watu wako serious kuwaondoa madarakani ndiomaana hawataki katiba mpya,ndiomaana wanapitishana bila kupingwa,na walishaweka wazi kabisa kuwa hawako tayari kukabidhi nchi kwa karatasi ya kura na endapo watashindwa watakimbilia mstuni kuzipiga ili warudi madarakani.

Kwa kifupi ni kwamba CCM walipokea mfumo wa vyama vingi kwa shingo upande kutokana na kulazimishwa na wazungu ndiomaana wanapiga vigeregere wanapoona watu kama akina Msigwa wanapohamia kwao.

Kwa kuwa hawataki upinzani imara unao hatarisha maslahi yao na hawako tayari kuona ushindani mkali kama wa Simba na Yanga wanataka mseleleko.
 
Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu

Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake

Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda

Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake

Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa

Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki

Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
Pale wafuas wa mafisadi ya ccm wanapofanya utabiri fake.
 
Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu

Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake

Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda

Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake

Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa

Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki

Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
Afanye haraka sasa awahi CCM wasije wakafunika mkeka akiwa bado anashangaashangaa 😆
 
KwA viongozi wa upinzani zito ndo huwa ana speech zenye future,ukiondoa unafiki na roho mbaya aliyo nayo
 
Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu

Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake

Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda

Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake

Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa

Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki

Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
Anza kuhamia wewe,yeye atakufuata baadae.
 
Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu

Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake

Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda

Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake

Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa

Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki

Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
Hakuna future kwenye vyama vya Siasa vyote kabisa vilivyopo hapa Tanzania.

Mimi nadhani umshauri kwamba apiganie upatikanaji wa Katiba Mpya itakayoruhusu Siasa huru za Wagombea huru wa kujitegemea wasiokuwa na mirengo ya Siasa za vyama.
 
Back
Top Bottom