ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Chadema hii hii au Kuna nyingine? ππMakapi yenu huko ccm yamewachosha, si mlimnunua msigwa mmegundua mnagarasha msigwa, ccm ni wajinga sana na bado 2025 ndio mtaielewa chadema.
Kumbe shida kula,,,,,,,haya we endelea na buku 7 zako,,,,nilijua kuna ishu kubwa ,kumbe unawaza kula tuUtakula jina? Unalinda Kwa Ajili ya nini?
Anaweza kuacha maji mezani.Sasa akisalia Upinzani ni kipi anapata?
Ccm wanahamia wajinga na wapumbavu pekee wenye akili hawawezi.Chadema hii hii au Kuna nyingine? ππ
SawaCcm wanahamia wajinga na wapumbavu pekee wenye akili hawawezi.
Mbona Lowasa mlimchukua je mlikuwa CCM je mlikuwa na akili au la?Makapi yenu huko ccm yamewachosha, si mlimnunua msigwa mmegundua mnagarasha msigwa, ccm ni wajinga sana na bado 2025 ndio mtaielewa chadema.
Mimi sijui inawezekana hata mimi nikasita kuunga juhudi kwa maelezo yako hayo.Ccm wanahamia wajinga na wapumbavu pekee wenye akili hawawezi.
Alikuja mahali sahihi tena kwa muda sahihi,wewe ulionaje?Ama hujui kuwa fursa inatumiwa inapopatikana,fursa ni adimu zaidi ya fhahabu au almasi.Mbona Lowasa mlimchukua je mlikuwa CCM je mlikuwa na akili au la?
Ndicho hicho Lisu nashauri atumie fursa bado akiwa popularAlikuja mahali sahihi tena kwa muda sahihi,wewe ulionaje?Ama hujui kuwa fursa inatumiwa inapopatikana,fursa ni adimu zaidi ya fhahabu au almasi.
Kakwambia nani anatemwaNdicho hicho Lisu nashauri atumie fursa bado akiwa popular
Chadema ikimtema ndie awaze kuhamia CCM itakuwa too late kwake
Time ya opportunity kwake ni sasa
Kwa utafiti wangu binafsi muda mwalimu mzuri utaongeaKakwambia nani anatemwa
Mbona muda wa walioichakaza gari na mmiliki wake bado?Kwa utafiti wangu binafsi muda mwalimu mzuri utaongea
Hii ni ramli wala si utafiti. Lisu angekuwa anataka vyeo vya CCM ingekuwa hata ni waziri kwa sasa. Msimamo wake ni kuondoa status quo na kuja na mfumo mpya wa uongozi.Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu
Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake
Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda
Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake
Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa
Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki
Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu
Sio rahisi kwa Lisu mpinzani pekee ambaye angeweza kuondoa CCM madarakani ni Lowasa tuHii ni ramli wala si utafiti. Lisu angekuwa anataka vyeo vya CCM ingekuwa hata ni waziri kwa sasa. Msimamo wake ni kuondoa status quo na kuja na mfumo mpya wa uongozi.
Labda uwadanganye wajinga!! Kwa vigezo vyangu, taifa, linahitaji vyama mbadala na sio huu ujinga wa kuimba, katiba mpya eti umemaliza kuwa serious. Viongoz wa upinzani wanakula rushwa na Lissu kawambia, waz, waz. Ww unasema wapo serious. Viongoz kama mbowe wapo kwenye uongozi miaka na miaka, ww unasema wapo serious. Huo ni ujinga.Watu walikuwa wanashinda jela kwa ajili kutaka kuiondoa CCM madarakani ndio useme kuwa hawako serious kuindoa CCM madarakani?watu wanaimba kila siku kuhusu katiba mpya itakayotoa mwanya wa kuiondoa CCM madarakani unasema kuwa hawako serious kuiondoa CCM madarakani?.
CCM wanajua kabisa kuwa watu wako serious kuwaondoa madarakani ndiomaana hawataki katiba mpya,ndiomaana wanapitishana bila kupingwa,na walishaweka wazi kabisa kuwa hawako tayari kukabidhi nchi kwa karatasi ya kura na endapo watashindwa watakimbilia mstuni kuzipiga ili warudi madarakani.
Kwa kifupi ni kwamba CCM walipokea mfumo wa vyama vingi kwa shingo upande kutokana na kulazimishwa na wazungu ndiomaana wanapiga vigeregere wanapoona watu kama akina Msigwa wanapohamia kwao.
Kwa kuwa hawataki upinzani imara unao hatarisha maslahi yao na hawako tayari kuona ushindani mkali kama wa Simba na Yanga wanataka mseleleko.
Unavyo waona wenzako wajinga na wao wanakuona mjinga vilevile.Kwa
Labda uwadanganye wajinga!! Kwa vigezo vyangu, taifa, linahitaji vyama mbadala na sio huu ujinga wa kuimba, katiba mpya eti umemaliza kuwa serious. Viongoz wa upinzani wanakula rushwa na Lissu kawambia, waz, waz. Ww unasema wapo serious. Viongoz kama mbowe wapo kwenye uongozi miaka na miaka, ww unasema wapo serious. Huo ni ujinga.
Unavyo waona wenzako wajinga na wao wanakuona mjinga vilevile.Kwa
Labda uwadanganye wajinga!! Kwa vigezo vyangu, taifa, linahitaji vyama mbadala na sio huu ujinga wa kuimba, katiba mpya eti umemaliza kuwa serious. Viongoz wa upinzani wanakula rushwa na Lissu kawambia, waz, waz. Ww unasema wapo serious. Viongoz kama mbowe wapo kwenye uongozi miaka na miaka, ww unasema wapo serious. Huo ni ujinga.
Siasani huku kwetu zama hizi wamejaa mapropesa tu !Siasa za Africa hazieleweki
Kuhama chama ni jambo la kawaida kwao, ila kwa wenzetu ni vigumu sana bora kujiuzulu siasa kuliko kuhama
Mbona mpira hawahami?
Wewe Chawa mdogo, huu utafiti uchwara umeufanyia wapi eti....?Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe Chadema au ACT Wazalendo ahamie CCM tu
Nasema hivi kwa sababu Chadema wanaonekana hawamtaki wala kambi yake
Matokeo ya Chaguzi ndani ya Chadema ni ushahidi kambi yake wamegaragazwa kanda zote kuanzia akina Pambalu,Msigwa nk hajaambulia kiongozi yeyote hata mmoja kuwa wa kanda
Ukija wenyeviti wa mikoa Chadema kote kagaragazwa kambi yake
Na nafasi yake ya umakamu mwenyekiti tayari mtu kajitokeza kushindana naye kiongozi wa kanda ya ziwa
Kuna tuhuma kuwa ana mpango wa kwenda ACT Wazalendo lakini ACT Wazalendo kwa sasa kimetekwa na wazanzibari huku bara hakina nguvu nguvu iko Zanzibar .Zitto kabwe hana cheo tena ACT Wazalendo ila yeye binafsi angependa Lisu ajiunge ACT Wazalendo na awe mhombea uraisi mwakani lakini wazanzibari hawamtaki kwa sababu ya Chadema walichonfanyia Duni Haji figisu ambazo Lisu alishiriki
Hivyo option pekee ya yeye kuwa ni political future ni CCM tu