Kwa utafiti wangu binafsi Lissu hana future kisiasa vyama vya upinzani iwe CHADEMA au ACT-Wazalendo, ahamie CCM tu

Hangaya kummithilisha Lissu na simba hakukosea.
Lissu ni Simba na hafugiki. Akienda CCM atawavuruga wote maana atakuwa ndio kiumbe pekee mwenye akili baina ya mapunguani ya CCM.
Mbona huyo simba alikua anafugika kwenye kabanda
 
Siasani huku kwetu zama hizi wamejaa mapropesa tu !
Wanachojali wao ni maslahi yao tu na kuwalaghai wapiga kura wao !
Ni kweli kabisa tena sio maslahi tu na unafiki wa hali ya juu
Mwanasiasa au mpinzani anaangalia yake tu hata anachotetea hakijulikani
Rushwa iliyokithiri wanaogopa kuiongelea kwani wanajua nao wanakula pia
 
Huu utafiti umeufanyia wapi...?

Bila shaka ni kwenye vungu za viti vya bwana zako pale Lumumba hususani Amos Makala - Katibu wa Itikadi na uenezi wa - Chama Cha Machawa - CCM........!
Tuupe muda sio kesi kama uko sawa au la usijipe pressure nitakurudia ukitimia
 
Lowassa alikuwa mpinzani lini?
 
Ndicho hicho Lisu nashauri atumie fursa bado akiwa popular

Chadema ikimtema ndie awaze kuhamia CCM itakuwa too late kwake

Time ya opportunity kwake ni sasa
Lissu ni independent, akihamia CCM hatakuwa na uhuru wa kuamua lipi,wao CCM wana corrective leadership tofauti na Chadema.
Pia CCM ina miamba wa siasa wengi mno atakuwa underdog.

Labda wampe kazi zisizo na shuruba professional appointment kama Mwanaaheria Mkuu au Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi au Jaji.
Option nyingine ni kuendelea kupambana ndani ya Chadema kuimarisha chama kama akipewa baraka na wenye chama chao.

Option nyingine ni kustaafu siasa akaendelea na kazi ya uwakili.
 
Hata ndani ya sisiemu hakuna mwenye future. Wanatumbuana na kusalitiana kila leo. Walioshangilia kabudi na Lukuvi kutoswa leo wako nje ya uwanja
 
Huko ccm mmezoea makambi eti? Huruma,!
 
Kijana una Shule ndogo. Kichwani Au ni wale wenye D mbili??

Vyama ni imani itikadi na sera
Watu hawahami tu irimradi

Kama ni hivyo kwa Nini usipendekeze kuwepo mgombea binafsi
 
Hata ndani ya sisiemu hakuna mwenye future. Wanatumbuana na kusalitiana kila leo. Walioshangilia kabudi na Lukuvi kutoswa leo wako nje ya uwanja
Wana makambi kama yote, mara kambi Samia, mara kambi Msoga, mara Sukuma gang, mara kambi ya Tulia, nk nk nk......
 
Hamna mwenye future Tanzania, hakuna democracy na hata watawala nao hawana future nzuri, niambie Rais yupi ana legacy nzuri Tanzania. No democracy no future for all
 
Watanzania tupo usingizini. Tunamsubiri Lisu atupambanie.
 
CCM INATEGEMEA WAHITIMU WA SIASA TOKA CHUO KIKUU CHADEMA, BILA CHADEMA CCM NI NYANGARAKASHA TU.
 
wana siasa wa bongo ni wasaka tonge na sio wakombozi wa taifa
Watu mpaka wanafikia kuuwana au kurogana na kubebana kwa ajili ya kuingia madarakani, hapo ujue ni njaa zao wajaze matumbo tu
Mbali na kuingia serikalini bado hawana msaada wowote kwa wananchi

Sidhani kama Ssdaka wwnatoa maana ukiwa mshirikina basi unakuwa na roho ya kishetani
Kuna baadhi sehemu zao walizogombea shule haina hata vyoo vya maana ila hata kutoa mchango wa 1m hawezi kutoa na kuiambia serikali pia hawezi
Sasa huyo ni binadamu kweli?
 
UHARO WA MTORI 🤔🤔🤣
 
Lissu ndiye mbeba bendera wetu Chadema 2025, kamwe hawezi kuhamia chama ambacho serikali yake ilipanga njama za kumtoa uhai, Lissu siyo mjinga kiasi hicho.
 
mbona hao wagombea wa kanda hawakusema kwamba walikuwa na kambi ( Lissu v Mbowe)? Hizi kambi zimetokea wapi au zilianza lini?
Yaani hizo kambi tusizijue sisi wanachama azijue huyo chawa wa CCM. Huyu hata hamfahamu Lissu anamsoma tu.
 
sadaka wanatoa ili waonekane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…