msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Aisee kutokana na ile hard talk kwa ndugu yetu TL, inaonyesha wazi kuna asilimia fulani ya watu kupungua kwa wanamuunga mkono.
Kwani kunavitu alivijibu kishabiki badala ya kusema kweli, moja ya mambo hayo ni suala la Ushoga hapa ndipo alipochapia yaani aliongea kuwafurahisha wazungu badala ya kuongea kuwafulahisha watanzania.
Kuna vitu ambavyo viko wazi kabisa hata ukiamshwa usiku wamanane uulizwe kuwa ushoga watanzania mnautaka au hamuutaki, Watanzania asilimia 99. 5 watasema hatuutaki kwasababu siyo mila na tamaduni zetu pia ni kinyume na maagizo ya Imani zote iwe kipagani, kikiristo, au hata Kiislamu. Sasa wewe unaonyesha kutetea kabisa bila hata uoga..
Ni hayo tu.
Basless infor.....
Luksa povu.
Matusi hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kunavitu alivijibu kishabiki badala ya kusema kweli, moja ya mambo hayo ni suala la Ushoga hapa ndipo alipochapia yaani aliongea kuwafurahisha wazungu badala ya kuongea kuwafulahisha watanzania.
Kuna vitu ambavyo viko wazi kabisa hata ukiamshwa usiku wamanane uulizwe kuwa ushoga watanzania mnautaka au hamuutaki, Watanzania asilimia 99. 5 watasema hatuutaki kwasababu siyo mila na tamaduni zetu pia ni kinyume na maagizo ya Imani zote iwe kipagani, kikiristo, au hata Kiislamu. Sasa wewe unaonyesha kutetea kabisa bila hata uoga..
Ni hayo tu.
Basless infor.....
Luksa povu.
Matusi hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app