COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
MODDS nawaomba msihamishe hii post kwa FAIDA yetu sote:
Watu wengi Tanzania wanakuwa Vibogoyo au nusu vibogoyo kwa kupoteza meno yao kwa kuyang'oa kutokana na maumivu makali waliyoyapata.
SWALI: Kwa ufahamu wako mwana JF na hasa kwa Ukiangalia Utamaduni wa nyumbani kwenu...Je nini kinasababisha jino kuoza na kutoboka? Je wewe unafahamu matibabu ya jino linalouma?
STORY ZA KIJIWENI:
1. Jino linatobolewa na Mdudu..anatoka jino moja na kuhamia jino lingine tena unamsikia kabisa anavyotembea.
2. Dawa ya jino ni Kung'oa
3. Matatizo ya kuoza meno ni ya kurithi.
Naombe tupate General views ya wana JF kabla ya kuwaleta wataalamu husika kutupa elimu.
Watu wengi Tanzania wanakuwa Vibogoyo au nusu vibogoyo kwa kupoteza meno yao kwa kuyang'oa kutokana na maumivu makali waliyoyapata.
SWALI: Kwa ufahamu wako mwana JF na hasa kwa Ukiangalia Utamaduni wa nyumbani kwenu...Je nini kinasababisha jino kuoza na kutoboka? Je wewe unafahamu matibabu ya jino linalouma?
STORY ZA KIJIWENI:
1. Jino linatobolewa na Mdudu..anatoka jino moja na kuhamia jino lingine tena unamsikia kabisa anavyotembea.
2. Dawa ya jino ni Kung'oa
3. Matatizo ya kuoza meno ni ya kurithi.
Naombe tupate General views ya wana JF kabla ya kuwaleta wataalamu husika kutupa elimu.