😅😅Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu wa kumsifia kutokea huko kuzimu🤡🤡🤡
View attachment 1901383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu wa kumsifia kutokea huko kuzimu🤡🤡🤡
View attachment 1901383
Huyu Bibi Tozo tuliyenaye sasa anatupeleka siko!Labda wengine mnajua, ila binafsi tunashindwa kuelewa nchi inaelekea wapi. To be honest, licha ya mapungufu yake kama Rais JPM nchi ilikuwa na direction. JPM alifanikiwa kuweka direction ya nchi ikiwa ni pamoja na mkazo katika sector kadhaa ambazo alizisimamia ipasavyo.
Ila sasa sijui nchi inaenda na kuelekea wapi. No direction, miezi 4 nchi imesimama, hatujui direction ni ipi. Viongozi wasaidizi wa Rais nao wapo wapo, hawamshauri Rais vizuri. Naona kama viongozi washakata tamaa, hawajui waanzie wapi na kushia wapi.
JPM alisema atakumbukwa. Kwa kweli wananchi wanamkumbuka sana. Kila angle saizi ni tozo tu. Leo limekuja lingine la kupiga mziki utalimwa tozo, wenye gym utakimwa tozo. Kila angle saizi ni tozo. Namfiki washauri wanashindwa kumshauri vyema Rais.
Anyway. Ukweli ni kwamba JPM angeiacha Tanzania 2025 sehwmu bora zaidi kuliko namna tunavyoenda sasa ambapo hatujui hata uelekeo.
Kwa mantiki hiyo, akiwa na busara Mama 2025 angestafu iwe ni heshima ya kutupitisha katika mpito. But kwenye perfomance is Zero compared na mtangulizi wake
Umemaliza kila kitu,,,,Jambo la Mbowe limemtia Sana Doa,,,Nchi imesimama? Yaani kisa tozo ndiyo nchi imesimama?? Unajua nchi kusimama mkuu? Watu mishahara wanalipwa kwa wakati, miradi nikubwa yote inaendelea na mingine mipya inaanzishwa, nafasi zote za uteuzi zimejazwa (Hadi bodi ya korosho ambayo JPM wako aliipotezea), ajira mpya zimetoka na zinaendelea kutoka, watu wamepandishwa madaraja na wengine wanaendelea kupandishwa.
Covid inashughulikiwa kisayansi sasa badala ya witchcrafts, elimu bure inaendelea, mahusiano yetu na nchi ya nje yamerudi kwa speed ya SGR, viongozi miungu watu wote chali, kila kiongozi sasa ni mnyenyekevu, watu waliokuwa na makesi ya ajabu ajabu wameachiwa, wasiojulikana hatujawasikia tena, Uhuru wa kuongea umeanza kurudi (Siyo sana, but huwezi fananisha na kipindi cha JPM), na mengineyo mengi! Unaposema nchi imesimama unamaanisha nini?
Jambo pekee ambalo linamtia doa Rais kwa asilimia kubwa hadi sasa ni kukamatwa kwa bwana Mbowe, sijui hilo atalimaliza vipi, ni muda utaamua.
Na ni mambo ambayo yanazungumzika na yanaweza kumalizwa na pande zote zikafurahi, ni suala la muda tuKweli mkuu,ukiondoa tozo mpya na kukamatwa kwa Mbowe,Samia kuna mazuri kafanya kwa huu muda mfupi.
Kwa Mbowe ashaharibu,,,upande wa pili umechukia sanaNa ni mambo ambayo yanazungumzika na yanaweza kumalizwa na pande zote zikafurahi, ni suala la muda tu
Ni kweli, ila nalo litaisha tu! Tatizo upande wa pili hawanaga subiraUmemaliza kila kitu,,,,Jambo la Mbowe limemtia Sana Doa,,,
Samahani mkuu naomba niulizie hivi una mtoto ambaye unamsomesha shule za manispaa.Nchi imesimama? Yaani kisa tozo ndiyo nchi imesimama?? Unajua nchi kusimama mkuu? Watu mishahara wanalipwa kwa wakati, miradi nikubwa yote inaendelea na mingine mipya inaanzishwa, nafasi zote za uteuzi zimejazwa (Hadi bodi ya korosho ambayo JPM wako aliipotezea), ajira mpya zimetoka na zinaendelea kutoka, watu wamepandishwa madaraja na wengine wanaendelea kupandishwa.
Covid inashughulikiwa kisayansi sasa badala ya witchcrafts, elimu bure inaendelea, mahusiano yetu na nchi ya nje yamerudi kwa speed ya SGR, viongozi miungu watu wote chali, kila kiongozi sasa ni mnyenyekevu, watu waliokuwa na makesi ya ajabu ajabu wameachiwa, wasiojulikana hatujawasikia tena, Uhuru wa kuongea umeanza kurudi (Siyo sana, but huwezi fananisha na kipindi cha JPM), na mengineyo mengi! Unaposema nchi imesimama unamaanisha nini?
Jambo pekee ambalo linamtia doa Rais kwa asilimia kubwa hadi sasa ni kukamatwa kwa bwana Mbowe, sijui hilo atalimaliza vipi, ni muda utaamua.
Jambo la kwanza JPM hayupo duniani hivyo kubaki kumlilia na kumtaja mara angetuacha wapi au vile haisaidii.Pia usisahau kua wakati wa JPM mawaziri na viongozi waligezwa badala ya kuwatumika watu walimtumikia yeye ndio maana hata kama mtu angefanya madudu vipi lakini kosa lilikua ni kutomsifu na kumtaja taja yeye.Pili watu walimheshimu JPM na sio serikali ndio matokeo tunayoyaona leo.Kwa upande wangu naona nchi inakwenda vyema kama watumishi wanalipwa mishahara,biashara zinaendelea,miradi inaendelea huwezi kusema nchi imesimama au imekosa direction.Najua zipo changamoto zimeletwa na bwana Mwigulu juu ya Tozo na Kodi ya Mapato lakini hizo hazifanyi toconclude kuwa mambo hayaendi.Well inaweza kua ile amsha amsha imepungua kwa mawzili ukiondoa Jafo,yule waziri wa maji,wa afya na wa Tamisemi amabao tunawasikia,walio wengi ni kizazi cha JPM bado wanaomboleza.Hivyo basi tunahitaji kupambana na changamoto kwa kutembea sio kusimama na kulia lia.Labda wengine mnajua, ila binafsi tunashindwa kuelewa nchi inaelekea wapi. To be honest, licha ya mapungufu yake kama Rais JPM nchi ilikuwa na direction. JPM alifanikiwa kuweka direction ya nchi ikiwa ni pamoja na mkazo katika sector kadhaa ambazo alizisimamia ipasavyo.
Ila sasa sijui nchi inaenda na kuelekea wapi. No direction, miezi 4 nchi imesimama, hatujui direction ni ipi. Viongozi wasaidizi wa Rais nao wapo wapo, hawamshauri Rais vizuri. Naona kama viongozi washakata tamaa, hawajui waanzie wapi na kushia wapi.
JPM alisema atakumbukwa. Kwa kweli wananchi wanamkumbuka sana. Kila angle saizi ni tozo tu. Leo limekuja lingine la kupiga mziki utalimwa tozo, wenye gym utakimwa tozo. Kila angle saizi ni tozo. Namfiki washauri wanashindwa kumshauri vyema Rais.
Anyway. Ukweli ni kwamba JPM angeiacha Tanzania 2025 sehwmu bora zaidi kuliko namna tunavyoenda sasa ambapo hatujui hata uelekeo.
Kwa mantiki hiyo, akiwa na busara Mama 2025 angestafu iwe ni heshima ya kutupitisha katika mpito. But kwenye perfomance is Zero compared na mtangulizi wake
Dua ziendelee tuMwenyekiti wa CCM hawezi kustaafu mpaka amalize vipindi viwili. CCM haina ubavu wa kumgusa mwenyekiti. Hata tume ya uchaguzi, polisi, majeshi, nk, watasimama na mwenyekiti wa CCM hivyo hivyo hata akiwa boga.
endelea kuwa wa hali ya chini 😀 😀 😀 😀I miss You Uncle Magu. Hakika ulitupigania watu wa hali ya Chini.
utakapo ona kitu wanzako washaondoka na vituHuyu mama tumepigwa mchana kweupe.
Hakuna kitu hapo.
mwenye sifa ya urais mtaje hapaJpm na huyu muimba taarab ni kitu kimoja, wote hawana sifa ya urais basi tu
huo mshahara unaolipwa si unatoka kwa mkwepa kodi.Mheshimu basi na huyo mkwepa kodiAsante Mkuu. Sisi tulioajiriwa huwa tunabezwa sana na hawa wakwepa kodi. Sasa tutakuwa sawa. Sote tulipe kodi😅😅
Labda wengine mnajua, ila binafsi tunashindwa kuelewa nchi inaelekea wapi. To be honest, licha ya mapungufu yake kama Rais JPM nchi ilikuwa na direction. JPM alifanikiwa kuweka direction ya nchi ikiwa ni pamoja na mkazo katika sector kadhaa ambazo alizisimamia ipasavyo.
Ila sasa sijui nchi inaenda na kuelekea wapi. No direction, miezi 4 nchi imesimama, hatujui direction ni ipi. Viongozi wasaidizi wa Rais nao wapo wapo, hawamshauri Rais vizuri. Naona kama viongozi washakata tamaa, hawajui waanzie wapi na kushia wapi.
JPM alisema atakumbukwa. Kwa kweli wananchi wanamkumbuka sana. Kila angle saizi ni tozo tu. Leo limekuja lingine la kupiga mziki utalimwa tozo, wenye gym utakimwa tozo. Kila angle saizi ni tozo. Namfiki washauri wanashindwa kumshauri vyema Rais.
Anyway. Ukweli ni kwamba JPM angeiacha Tanzania 2025 sehwmu bora zaidi kuliko namna tunavyoenda sasa ambapo hatujui hata uelekeo.
Kwa mantiki hiyo, akiwa na busara Mama 2025 angestafu iwe ni heshima ya kutupitisha katika mpito. But kwenye perfomance is Zero compared na mtangulizi wake
Mkuu mimi naona ikifika wakati wa mtu kuongea ukweli mchungu pasipo kujali kuwa watu watatoka povu la kumfa mtu ama la, itakupasa tu kufanya hivyo. Chanzo kizuri cha mapato ni kile kisichokuwa na ubaguzi wa aina yoyote kwa makundi ya watu na tena kinachoatozwa katika chanzo kimoja kinachofanana cha mapato. Na hii ndiyo hasa sifa ya kipekee iliyopo katika tozo za vifirushi vya simu na kufanya miamala kwa njia ya simu.Labda wengine mnajua, ila binafsi tunashindwa kuelewa nchi inaelekea wapi. To be honest, licha ya mapungufu yake kama Rais JPM nchi ilikuwa na direction. JPM alifanikiwa kuweka direction ya nchi ikiwa ni pamoja na mkazo katika sector kadhaa ambazo alizisimamia ipasavyo.
Ila sasa sijui nchi inaenda na kuelekea wapi. No direction, miezi 4 nchi imesimama, hatujui direction ni ipi. Viongozi wasaidizi wa Rais nao wapo wapo, hawamshauri Rais vizuri. Naona kama viongozi washakata tamaa, hawajui waanzie wapi na kushia wapi.
JPM alisema atakumbukwa. Kwa kweli wananchi wanamkumbuka sana. Kila angle saizi ni tozo tu. Leo limekuja lingine la kupiga mziki utalimwa tozo, wenye gym utakimwa tozo. Kila angle saizi ni tozo. Namfiki washauri wanashindwa kumshauri vyema Rais.
Anyway. Ukweli ni kwamba JPM angeiacha Tanzania 2025 sehwmu bora zaidi kuliko namna tunavyoenda sasa ambapo hatujui hata uelekeo.
Kwa mantiki hiyo, akiwa na busara Mama 2025 angestafu iwe ni heshima ya kutupitisha katika mpito. But kwenye perfomance is Zero compared na mtangulizi wake
Wewe unazo sifa? Kazi kusema wengine ukijiangalia wewe mwenyewe hata kujiongoza huwezi... R. I. P JPM 🙏Jpm na huyu muimba taarab ni kitu kimoja, wote hawana sifa ya urais basi tu