Kwa utendaji huu ukimlinganisha na Hayati Magufuli, ni busara Rais Samia asigombee 2025

Samia, eneo aliloharibu kabisa ni hili la kumbambikia Mbowe kesi ya ugaidi. Na huenda hili limefanywa na mahasimu wake ndani ya CCM ili kuhakikisha Samia anaingia kwenye mgogoro mkubwa na wananchi wapenda haki na jamii ya kimataifa. Na wamefanikiwa.

Sasa wanaompinga wameongezeka. Hapo mwanzo waliokuwa wakimpinga na kumsema vibaya Samia ni wale wafia Magufuli. Lakini sasa kundi limekuwa kubwa dhidi yale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…