Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
Machozi yanambubujika.Lucas mwashabwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machozi yanambubujika.Lucas mwashabwa
chawa Sasa watumie umeme stiggler inazalisha wakutosha.Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
Jamaa mpaka kajichekq mwenyeweOops ! Mkuu Pole Sana Sana Malipo Yako Huko Lumumba FC Buku Saba Huenda Yakasitisha Sababu Ulichoandika Wala Siyo Cha Nchi Hii Ya Tanzania
Bila shaka unasubiri uteuziKwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
Kwani hata sasa hivi Lina wapinzani? Kwahizi chaguzi zetu za kihayawani , nitashaangaa tume ya uchaguzi kuwatangaza wapinzani wameshinda.Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
chawa Sasa watumie umeme stiggler inazalisha wa kutosha.Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
Kwa ujasiri kabisa hutaki mawazo huru na mbadala yaingie bungeni. Hivi unajua hao wapinzani ndo kioo Cha serikali kujitazama na kujipima juu ya utendaji kupitia ukosoaji na mijadala isiyo na woga? Sikatai kuwa Kuna wabunge wa chama tawala wenye uthubutu wa kuihoji,kuipongeza na kuikosoa serikali pale bungeni,lakini vipi kuhusu uhakika wa uanachama wao na nafasi za uongozi zitokanazo na chama kwa siku za usoni?Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
Hakuna awamu Wana ccm Wana vitu vingi vya kuonesha huko kwenye Majimbo na kata zao kama Sasa.Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
Hii ni sawa na baba kumpa mwanaume mwingine mkewe kwa kigezo cha kusaidiwa kuitunza familia, jambo ambalo yeye lilimshinda. Halafu baba huyo ajitanabaishe kama kiongozi bora wa familia kwa kuwa anajali ustawi wao na watanufaika na ujio wa mwanaume huyo. Hiki ni kiwango cha juu sana cha upumbavu.1.uuzwaji was bandari!
2.kuhamishwa wamasai ngoro. Ngoro!
3.kuipa kisogo katiba mpya!Agizo kuu la Dola!
Kumesiriba Kila kitu!!
Hoja za lisu sio hoja za chadema,ni za dola baada ya sisi CCM kugeuka chawa badala ya kuwa wakosoaji wakuu watengenezaji was hatma ya Tz ijayo tunashabikia matumbo ya makada!!