ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Tupo hapa ndg utaniambia...Nyie mnadhani kila timu inahonga kama Yanga.
Sio kwa Simba SC ninayoijua mimi, ile iliyozoea kushiriki klabu bingwa Afrika hatua ya makundi na robo fainali kila ikitaka.Tatizo makocha wa kigeni wamesusa kuomba kazi simba. Unambiwa
Hadi leo 13/11/2022 hakuna kocha iwe mzungu wala mweusi aliyetuma maombi ya ukocha simba.
Ajabu ni kwamba unajiona una usajiri bora wakati Champions League umetolewa.Tupo hapa ndg utaniambia...
Usajili bora unalipa ndg
Ukipanda Aziz ki utavuna aziz ki...na ukipanda Kibu utavuna Kibu..hakuna kuhonga wala nini..its just the quality of players..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yanga kwa kulia lia,Penalty yenu dhidi ya Geita ilikuaje ?Ukiangalia mwenendo wa timu zetu Nbc ligi utaona na kutofautisha nguvu na uwezo tofauti kwa kila timu
Kiukweli simba wameshuka sana,japo wengi huku mtaani wanajitia hawalioni hilo,ile simba ya akina Mugalu,Luiz miquossone na chama si hii ya leo
Kitakachoendelea sasa kupisha aibu ni mbinu chafu kwa kwenda mbele tutegemee penati nyingi za mipango na redi kadi mfululizo.hili naliongea leo na kila mmoja atalitibitisha....
Nimekaa paleee
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hilo Halifichi ubovu wa SimbaAjabu ni kwamba unajiona una usajiri bora wakati Champions League umetolewa.
Unayemuona mbovu Champions league umemwacha anapeta
Sasa kama Simba ina usajili mbovu kwanini yupo ligi ya mabingwa na yanga kaenda ligi ya washirika?Tupo hapa ndg utaniambia...
Usajili bora unalipa ndg
Ukipanda Aziz ki utavuna aziz ki...na ukipanda Kibu utavuna Kibu..hakuna kuhonga wala nini..its just the quality of players..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hapo si mmebaki ki bahati tu?si kwa ubora.Sasa kama Simba ina usajili mbovu kwanini yupo ligi ya mabingwa na yanga kaenda ligi ya washirika?
Baada ya ushindi wa jana dhidi ya Ihefu Fc, watacheza mechi mfululizo na Namungo, Mbeya City, Polisi Tanzania, KMC, Kagera Sugar, Geita Gold, nk!!
Kweli!!! Kweli!! Katika mechi zote hizi za nyumbani na ugenini hatutagawa point kwa wapinzani kweli!!! Na hapo bado kuna mechi za kimataifa!!
Mechi 2 zote kashinda ugenini na nyumbani. Nini mlifanya lipi la maana ?Hapo si mmebaki ki bahati tu?si kwa ubora.
Nyie mnaishinda kwa taabu goli 1 timu inayoshika mkia?nyie mna ubora gani?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app