ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ukiangalia mwenendo wa timu zetu Nbc ligi utaona na kutofautisha nguvu na uwezo tofauti kwa kila timu
Kiukweli Simba wameshuka sana,japo wengi huku mtaani wanajitia hawalioni hilo,ile simba ya akina Mugalu,Luiz miquossone na chama si hii ya leo
Kitakachoendelea sasa kupisha aibu ni mbinu chafu kwa kwenda mbele tutegemee penati nyingi za mipango na redi kadi mfululizo.hili naliongea leo na kila mmoja atalitibitisha....
Nimekaa paleee
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kiukweli Simba wameshuka sana,japo wengi huku mtaani wanajitia hawalioni hilo,ile simba ya akina Mugalu,Luiz miquossone na chama si hii ya leo
Kitakachoendelea sasa kupisha aibu ni mbinu chafu kwa kwenda mbele tutegemee penati nyingi za mipango na redi kadi mfululizo.hili naliongea leo na kila mmoja atalitibitisha....
Nimekaa paleee
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app