Inawezekana una ugomvi fulani na huyo mwenye jengo la Migomigo Mikumi,kama si kudaiana pesa.Leo nilikuwa na route za sehemu mbalimbali hapa down town yaani Dar es Salaam, nimeona majengo mengi yakijengwa chini ya kiwango na mamlaka husika zipo zinawaangalia tu, mfano kuna jengo moja pale Magomeni Mikumi yaani limelala kama kinadondoka na kuna jengo lingine liko kama unaenda Coca-Cola karibu na office za CRB kabisa nalo liko ovyo ovyo...
Hili lipo wp? Maana dar kitambo nilisepa!
Na CRDB Headoffice linataka kudondoka au?Leo nilikuwa na route za sehemu mbalimbali hapa down town yaani Dar es Salaam, nimeona majengo mengi yakijengwa chini ya kiwango na mamlaka husika zipo zinawaangalia tu, mfano kuna jengo moja pale Magomeni Mikumi yaani limelala kama kinadondoka na kuna jengo lingine liko kama unaenda Coca-Cola karibu na office za CRB kabisa nalo liko ovyo ovyo...
Ongezea nssf waterfrontNa CRDB Headoffice linataka kudondoka au?
Acha ushamba mkuu
Ni design tu ya ujenzi
Na lile Tanhouse barabara ya Morocco linataka kudondoka au?
Acha ushamba ni design tu
Mainjinia wa kike wana design majengo makali sana hapa Dar
Wanaume wanauza sura na kunyoa viduku
Ishu sio design mkuu ni poor workmanship ambayo inaonekana katika hayo majengo na hizo bodi za kusimamia zipo vijana wao wanakula rushwa tu...iko siku haya majengo yatasababisha majangaNa CRDB Headoffice linataka kudondoka au?
Acha ushamba mkuu
Ni design tu ya ujenzi
Na lile Tanhouse barabara ya Morocco linataka kudondoka au?
Acha ushamba ni design tu
Mainjinia wa kike wana design majengo makali sana hapa Dar
Wanaume wanauza sura na kunyoa viduku