Ntakupa mimiNapata wapi line yao mie
Ntashukuru sanaaaaaNtakupa mimi
Nimeamua kurudi tigo yangu tu. Halotel sioHivyo ni kwa miezi miwili mitatu ya mwanzo.....baada ya miezi minne sh 500 mb 50+20 nyongeza (sijui wanawekaga nyongeza ya nini si waweke tu 70) sms 100 dk 7.....sh 1000 mb 200 and blablablabla.......waulize walioshobokea halotel.
hata digitek wana vya kwao sema hawapendi show off tu tena wao wanatoa 10gb kwa jero tuHawafikii vifurushi vya Continental sh. 500/wiki sms bila kikomo, dk 200 continental continental na dk 60 mitandao mingine na gb 5.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hawafikii vifurushi vya Continental sh. 500/wiki sms bila kikomo, dk 200 continental continental na dk 60 mitandao mingine na gb 5.