Kwa vijana wote ambao upande wao vimekaza

...idea generally ni nzuri ila,utekelezaji si rahisi kihivyo
..umerahisisha sana!
Sasa mkuu ulitaka niandike kitabu hapa jf? Uzi una limit ya maneno kwaiyo inabidi unaweka abstract ama executive summary basi.
 
Kuna jambo gani la kutafuta fedha lisilo na changamoto?
Hata kula rushwa na kupiga dili pia kuna changamoto mfano angalia vigogo waliopo rumande leo ndio utajua hakuna kitu kisicho na changamoto cha muhimu ni kupambana nazo na si kuzikimbia.
Ha ha ha ha... Duh mkuu punguza ukali wa maneno mdau kashaelewa
 
Hapo umenikuna sana, mimi nipo mjini nimeajiriwa ila napanga mikakati sababu siwezi kujilipua wakati nina familiya inanitegemea. Shamba lazima niende, ndoto zangu zile kubwa zipo huko
 
Sasa mkuu ulitaka niandike kitabu hapa jf? Uzi una limit ya maneno kwaiyo inabidi unaweka abstract ama executive summary basi.
Ukitaka uhondo wa ngoma uingie ucheze, kwani wanaoweza wana nini na wengine washindwe wana nini? Akiamua tu anaweza.
 

wewe je?
 
Natafuta wataalamu tuwe na kiwanda cha kuhifadhi mbegu za kiume kwny vichupa, wasiotaka kuolewa wajinunulie tu.
Hahahahahaha. Hiyo ndo plani B, yako baada ya maisha kuwa ngumu kumeza. Duuuuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…