Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Janga la Corona ni vita ambayo no one knows its dimensions, hivyo Watanzania hatuna budi kutumia kila silaha, kila mbinu, kila technics, hivyo, baada ya kuisikia ile hotuba ya jana kutokea Ukulu ya Chato, mimi kwa upande wangu naiunga mkono hotuba ile ya Ikulu ys Chato kwa asilimia 100% chini ya 100%, na hili hapa ni bandiko la kuomba maoni yako.
Kufuatia virusi vya Covid-19 vinavyosabisha ugonjwa wa Corona ambao mpaka sasa bado hauna kinga wala tiba, jee mnaonaje kama na mahospitali yetu pia yaruhusiwe tuanze kutumia Tiba Asili na Tiba Mbadala as an alternative medicine, ikiwemo Faith Healing ambapo nchi inayoongoza kwa tiba hizi ni China, na India, wao wanatumia TCM, (Traditional Chinese Medicine), India wanatumia Yoga na meditation, sambamba na Western medicine, kwa huduma ya kwanza ifanyikie majumbani as homeopathy pale tiba asili inaposhindwa the critical ndio wapelekwe mahospitalini, na hii itamaanisha hao ambao tiba asili na tiba mbadala itawagomea, wana issues na kinga zao za miili, ndio wapelekwe hospitali kusubiria hatma zao.
Kwa vile kabla ya ujio wa wakoloni, jamii asili za Tanzania tulikuwa tunategemea tiba asili na tiba mbadala ambapo baadhi ya tiba hizi ni more effective kuliko tiba za kisasa za Wazungu.
Kila kabila lina wataalamu wake wa miti shamba, na kwa wagonjwa ambao wako willing kujaribu tiba asili na tiba mbadala, waruhusiwe kuwa discharged from hospital, warejee nyumbani kujaribu, wakizidiwa warejee hospital, hii itasaidia sana hospitali zetu zisielemewe.
Waganga na mabingwa wa miti shamba wa kila eneo, waliosajiliwa au wanaotambulika na kukubalika na wana jamii husika, waruhusiwe kuingia mahospitalini kuwatibia wagonjwa ambao wako willing.
Zile dawa zitakazo onyesha kuwa very effective, kwa wagonjwa kupata nafuu, wagonjwa waliopona wafanyiwe confirmation test kuthibitisha wamepona kwa dawa ya mganga fulani, kisha mahospitali yafanye sharing of information ya effectiveness, zile dawa zitakazo onyesha kuwa very effective, zifanyiwe clinical test kwa kuwatumia wale wagonjwa critical as Guinea Pigs, kama zitasaidia kutibu.
Zikitibu na kuthibitishwa hao waganga wa tiba hizo wasaidiwe kuwafanyia patent registration tuingie kwenye mass production tuwaokoe Watanzania.
Pia matabibu wote wa faith healing na wachungaji na wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, waruhusiwe kuingia mahospitalini kuwaombea wagonjwa watakaokuwa willing na kuwaponya kwa Jina la Yesu, na watakao pona, confirmation test zifanywe, wakikutwa wamepona waruhusiwe.
Mnaonaje hoja hii?.
Paskali
Janga la Corona ni vita ambayo no one knows its dimensions, hivyo Watanzania hatuna budi kutumia kila silaha, kila mbinu, kila technics, hivyo, baada ya kuisikia ile hotuba ya jana kutokea Ukulu ya Chato, mimi kwa upande wangu naiunga mkono hotuba ile ya Ikulu ys Chato kwa asilimia 100% chini ya 100%, na hili hapa ni bandiko la kuomba maoni yako.
Kufuatia virusi vya Covid-19 vinavyosabisha ugonjwa wa Corona ambao mpaka sasa bado hauna kinga wala tiba, jee mnaonaje kama na mahospitali yetu pia yaruhusiwe tuanze kutumia Tiba Asili na Tiba Mbadala as an alternative medicine, ikiwemo Faith Healing ambapo nchi inayoongoza kwa tiba hizi ni China, na India, wao wanatumia TCM, (Traditional Chinese Medicine), India wanatumia Yoga na meditation, sambamba na Western medicine, kwa huduma ya kwanza ifanyikie majumbani as homeopathy pale tiba asili inaposhindwa the critical ndio wapelekwe mahospitalini, na hii itamaanisha hao ambao tiba asili na tiba mbadala itawagomea, wana issues na kinga zao za miili, ndio wapelekwe hospitali kusubiria hatma zao.
Kwa vile kabla ya ujio wa wakoloni, jamii asili za Tanzania tulikuwa tunategemea tiba asili na tiba mbadala ambapo baadhi ya tiba hizi ni more effective kuliko tiba za kisasa za Wazungu.
Kila kabila lina wataalamu wake wa miti shamba, na kwa wagonjwa ambao wako willing kujaribu tiba asili na tiba mbadala, waruhusiwe kuwa discharged from hospital, warejee nyumbani kujaribu, wakizidiwa warejee hospital, hii itasaidia sana hospitali zetu zisielemewe.
Waganga na mabingwa wa miti shamba wa kila eneo, waliosajiliwa au wanaotambulika na kukubalika na wana jamii husika, waruhusiwe kuingia mahospitalini kuwatibia wagonjwa ambao wako willing.
Zile dawa zitakazo onyesha kuwa very effective, kwa wagonjwa kupata nafuu, wagonjwa waliopona wafanyiwe confirmation test kuthibitisha wamepona kwa dawa ya mganga fulani, kisha mahospitali yafanye sharing of information ya effectiveness, zile dawa zitakazo onyesha kuwa very effective, zifanyiwe clinical test kwa kuwatumia wale wagonjwa critical as Guinea Pigs, kama zitasaidia kutibu.
Zikitibu na kuthibitishwa hao waganga wa tiba hizo wasaidiwe kuwafanyia patent registration tuingie kwenye mass production tuwaokoe Watanzania.
Pia matabibu wote wa faith healing na wachungaji na wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, waruhusiwe kuingia mahospitalini kuwaombea wagonjwa watakaokuwa willing na kuwaponya kwa Jina la Yesu, na watakao pona, confirmation test zifanywe, wakikutwa wamepona waruhusiwe.
Mnaonaje hoja hii?.
Paskali