kwa Viongozi wa vilabu vya mpira

boyayoparuparu

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
343
Reaction score
81
Leo katika pambano la mpira wa miguu,kati ya timu ya yanga na mtibwa lililofanyika mkoa wa morogoro,kuna baadhi ya washabiki wa timu ya yanga,lilipofungwa goli la kwanza,wamejitokeza na kushangilia goli hilo kwa kuonyesha kipeperushi cha mgombea wa ccm,tabia hii haikubaliki kwa wanamichezo,viongozi wa vilabu vya mpira mnatakiwa kukemea tabia hii,vinginevyo tutajua kuwa ni nyinyi mnao watuma washabiki wanaoleta mambo hayo katika viwanja vya mpira yanga 2 mtibwa o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…