Kwa 'Visa' ambavyo Kocha Nabi anawafanyia Yanga SC sasa niseme tu Kocha Pablo 'out' na Yeye 'Msimbazi' kunamkaribisha

Kwa 'Visa' ambavyo Kocha Nabi anawafanyia Yanga SC sasa niseme tu Kocha Pablo 'out' na Yeye 'Msimbazi' kunamkaribisha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila kukitokea tu 'Break' ya FIFA Calendar Kocha Nabi atataka Kuondoka kwenda Kwao au Ubelgiji na huwa hahitaji Yanga SC imlipie Tiketi ball kuna Mtu Mmoja upande wa Pili ndiyo humgharamia.

Mara kwa mara Kocha Nabi amekuwa akiombwa Kujikita zaidi na Yanga SC Kimafunzo ila Yeye kila ambapo Klabu ya Simba ikicheza Mechi zake za Kkmataifa hulazimisha akaiangalie Simba SC na huwa na Furaha Usoni kuliko hata ile ambayo huwa inaonekana ni ya Kulazimisha na ya 'Kurogwa' akiwa Yanga SC.

Mkataba wa Kocha Nabi unaelekea Ukingoni na cha Kushangaza kila akifuatwa na Uongozi wa Yanga SC ili asaini mpya anasema wasubiri Kwanza na hutoa sababu nyingi kama za Mwanamke Mrembo ambaye humfanyia Mwanaume Masikini, Bahili na mwenye Sura Mbaya.

Walioko Kambini Avic Town walipo Wafugaji wa Ng'ombe wasio na Afya ambao hupeana zamu Kuwachunga ambapo muda huu naandika huu Uzi Feisal Salum 'Fei Toto' anaitafuta Mwembe Mtengu Kigamboni na Ng'ombe Wawili Vimbaumbau ( Fidodido ) akiwatafutia Malisho wanasema mara nyingi Kocha Nabi hupenda Kuwasifia Wachezaji wa Simba SC na Uongozi wa Simba SC jinsi unavyoiendesha Timu.

Ikumbukwe hata alipokuwa nchini Sudan na Klabu Bingwa ya huko tayari Kocha Nabi alikuwa anakuja Simba SC isipokuwa kuna Wahuni wa 10% Wakamzunguka Tajiri Mo na kumleta Kocha Didier Gomez ambaye nataarifiwa kuwa ameshatimuliwa kama Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Mauritania.

CV ya Kocha Nabi ni ya Kufundisha Simba SC tu kwa hapa Tanzania na CV ya Kocha wa sasa wa Simba SC ni ya Kufundisha Vilabu vibovu kama vya Yanga SC, DTB FC na Pan Africa FC ya Shaurimoyo Ilala Dar es Salaam.

Kocha Pablo akifukuzwa SSC nitafurahi.
 
Unamuongelea pablo gani?? Huyu huyu aliekua real madrid?? Leo unamdis namna hii 😂😂😂.

Sema nimependa tu jinsi unavoiona na kukubali kiwango bora cha kocha wa yanga. Si mbaya kutamani kitu kizuri na kukisifia na kupenda kiwe chako ama lah na ww upate kama kile au zaidi ya kile.

Simba acheni janja janja hizi, tumieni billion 20 za tajiri yenu vizuri mjenge timu yenu.
 
Unamuongelea pablo gani?? Huyu huyu aliekua real madrid?? Leo unamdis namna hii 😂😂😂.

Sema nimependa tu jinsi unavoiona na kukubali kiwango bora cha kocha wa yanga. Si mbaya kutamani kitu kizuri na kukisifia na kupenda kiwe chako ama lah na ww upate kama kile au zaidi ya kile.

Simba acheni janja janja hizi, tumieni billion 20 za tajiri yenu vizuri mjenge timu yenu.
Niishasema Kitambo kwa Pablo tumepigwa labda tu huwa husomi au hufuatulii Mada zangu za Kimichezo hapa JamiiForums Mkuu.

Hajawahi kuwa Kocha wa Real Madrid.
 
Mimi kolo mwenzako, ila nashangaa we kolo mwenzangu una nyege sana na wanaume wa Yanga, umetoka kuwatamani job, mayele na aucho leo umeamia kwa Proffesa kwan shida nini? mbona una danga sana
Aliyekuleta duniani nae asingedanga kama unavyoniambia nadanga Pumbavu Wewe leo hii ungekuwepo hapa duniani?
 
Aliyekuleta duniani nae asingedanga kama unavyoniambia nadanga Pumbavu Wewe leo hii ungekuwepo hapa duniani?
Acha kupanic Mrs Gentamycin we tujibu kwanza kwanini una danga sana jangwani? mbona haujawahi kuwasemea makolo princess wanawake wenzako we kutwa kuwasema na kuwasifia wanaume wenye familia zao kina aucho au unawashwa? unataka tukuletee Bangala Litombo akufanyie kazi chafu?
 
Niishasema Kitambo kwa Pablo tumepigwa labda tu huwa husomi au hufuatulii Mada zangu za Kimichezo hapa JamiiForums Mkuu.

Hajawahi kuwa Kocha wa Real Madrid.
Sasa hivi mshakubali kuwa Yanga inapata ushindi kutokana na ubora wa Kocha na Wachezaji wake na si tena bahasha za GSM kwa timu pinzani. Kila goti litapigwa.
 
Kwa Kiingereza ni War Missle na kwa Kiswahili ni Kombora la Vita. Mkuu hili Neno umelitoa wapi kwani sijawahi kukutana nalo hapa JamiiForums ila nimelijua kwakuwa tu nami nakijua jua kidogo Kifaransa.
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe
 
Acha kupanic Mrs Gentamycin we tujibu kwanza kwanini una danga sana jangwani? mbona haujawahi kuwasemea makolo princess wanawake wenzako we kutwa kuwasema na kuwasifia wanaume wenye familia zao kina aucho au unawashwa? unataka tukuletee Bangala Litombo akufanyie kazi chafu?
Nipo Apa Namuangalia Tu.
 
Uyo kocha wasimba nikiazi mbatata kabsa yan team inaahinda kwa motisha ila sio kwa Uwezo wa kocha kabsa.Yan katika makocha wabovu walio pita Simba huyu anaongoza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wafugaji WA ng'ombe wasio na Afya aiseee watakuja utopolo Hapa kupiga kelele
 
Imenibidi nicheke, Uzi kama huu unatakiwa uusome kitaalam sana.

Yaan umewekwa kushoto kulia, ukijichanganya unaweza kudhania anasemwa kocha wa Yanga kumbe hapo anapondwa kocha wa simba kwamba mbovu na atimuliwe.

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] shikamoo JF
 
Kila kukitokea tu 'Break' ya FIFA Calendar Kocha Nabi atataka Kuondoka kwenda Kwao au Ubelgiji na huwa hahitaji Yanga SC imlipie Tiketi ball kuna Mtu Mmoja upande wa Pili ndiyo humgharamia...
Pablo kocha mbovu mbovu hadi aibu he does players rotation ya kipumbavu hana starters wa uhakika, huyu mpumbavu ananitia hasira sana inabidi tukivuka kwenda robo apigwe chali
 
Kila kukitokea tu 'Break' ya FIFA Calendar Kocha Nabi atataka Kuondoka kwenda Kwao au Ubelgiji na huwa hahitaji Yanga SC imlipie Tiketi ball kuna Mtu Mmoja upande wa Pili ndiyo humgharamia...
Simba tunahitaji better coach than nabi

Extended hbd lopolopo la jf

Tutasherehekea birthday for 3 days

More life
 
Back
Top Bottom