Kwa vyovyote vile Adv Nkuba akishinda Uchaguzi TLS umma utaamini ameshinda kwa njia za Napenization

Kwa vyovyote vile Adv Nkuba akishinda Uchaguzi TLS umma utaamini ameshinda kwa njia za Napenization

Nkuba Adv ndio Mgombea aliezungumza vyema na kuupiku Mdahalo.
Jamaa ni smart and Intelligent

Nkuba anakwenda kushinda hii nafasi tena wazi kabisa

Wafuasi wa Chadema awaiingii kupiga kura Bali Mawakili wasomi

Kiufupi Tls inakwenda kupata mtu sahihi na ni Adv Nkuba
Ndio mgombea niliyemuona yuko calm sana kwa mujibu wa maswali ya kichochezi ambayo alikuwa anaulizwa na odemba.

Aliweza kucontrol majibu yake na hakuonesha chembe ya majibu ya uoga kwa CCM.

Kama alivyokemea utekaji na mauwaji wazi,kitu ambacho bwana odemba alidhani atapewa majibu ya kuzunguka kama yule mkuu wa wilaya ya ubungo anayeulizwa kuhusu utekaji alafu anasema no comment.

Huyu nkuba anafaa.

Mwabukusi sio mbaya ila nahofia tu huwenda akawa ana jazba na hasira za karibu ambazo znaweza kumnyima akili ya kufikiri vizuri
 
Kazi ya TLS siyo kutetea raslimali za nchi bali jukumu la TLS ni Kuisaidia Serikali na Mahakama kuhusu mambo yoyote yanayogusa sheria, utawala wa sheria na kazi za kisheria. Dhana hii ndiyo inayoiunganisha Taasisi hiyo na Mahakama ya Tanzania.

Kama Mwabukusi ni mwanaharakati basi TLS siyo mahali pake
Nilipata shida sana kumuelewa mwsbukusi.

Maana anayoyadai mwabukusi hata raia wa kawaida anaweza kuyafanya.

Nilidhani atajikita katika kuisemea nafasi anayoigombania ataitumia vipi kisheria na kitaratibu kusaidia malengo na kazi ya taasisi hiyo kusonga mbele.
 
Nilipata shida sana kumuelewa mwsbukusi.

Maana anayoyadai mwabukusi hata raia wa kawaida anaweza kuyafanya.

Nilidhani atajikita katika kuisemea nafasi anayoigombania ataitumia vipi kisheria na kitaratibu kusaidia malengo na kazi ya taasisi hiyo kusonga mbele.
Mwabukusi amekuja kuleta siasa kwenye TLS
 
Nilipata shida sana kumuelewa mwsbukusi.

Maana anayoyadai mwabukusi hata raia wa kawaida anaweza kuyafanya.

Nilidhani atajikita katika kuisemea nafasi anayoigombania ataitumia vipi kisheria na kitaratibu kusaidia malengo na kazi ya taasisi hiyo kusonga mbele.
Hakuna malengo zaidi ya kusimamia haki za raia mahakani na vituo vya polisi
 
Back
Top Bottom