Habari wanajamvi.
Mimi ni mjasiliamali, nina jihusisha na utengenezaji wa bidhaa za ngozi, hasa sandals aka viatu vya kimasai, mikanda, mabegi na bidhaa nyingine nyingi. hivi sasa nipo katik mchakato wa kupanua uzalishaji kulingana na soko la bidhaa zangu, lakini changamoto yangu kubwa ni vifaa vya kutendea kazi kama vile CHEREHANI(mashine) yenye uwezo wa kushona NGOZI.
Tafadhali, naomba mzoefu na mashine hizo anijuze wapi ninapoweza kuzipata na kwa bei gani?
PIA NAKARIBISHA USHAURI WA KIUFUNDI KUHUSU BIASHARA YANGU.
Asanteni sana.
Mimi ni mjasiliamali, nina jihusisha na utengenezaji wa bidhaa za ngozi, hasa sandals aka viatu vya kimasai, mikanda, mabegi na bidhaa nyingine nyingi. hivi sasa nipo katik mchakato wa kupanua uzalishaji kulingana na soko la bidhaa zangu, lakini changamoto yangu kubwa ni vifaa vya kutendea kazi kama vile CHEREHANI(mashine) yenye uwezo wa kushona NGOZI.
Tafadhali, naomba mzoefu na mashine hizo anijuze wapi ninapoweza kuzipata na kwa bei gani?
PIA NAKARIBISHA USHAURI WA KIUFUNDI KUHUSU BIASHARA YANGU.
Asanteni sana.