Kwa wa Tanzania wanaojifanya kujua kinachoendelea Kenya

Kwa wa Tanzania wanaojifanya kujua kinachoendelea Kenya

Kuna Sheria
Kuna Katiba
Sheria zinafaa zifwate kanuni za Katiba ili ziwe sheria kama hazifwati katiba basi sio sheria mwafaka

Ninaweka reply yangu kama thread ili muelewe mnayo ongelea juu naona tu mna kurupuka kuweka mawazo yenu yasiyo na any standing kwa issue za Kenya msiyo yaelewa

Kenya ina Sheria na Katiba haya mawili sio kitu moja ila zina tegemeana!!....sio kama tanzania ambayo sheria ziko embedded kwa katiba...hapa juu sheria na katiba ni vitu mbili tofauti!!
Wameveruga Sheria Mwanzi1 wala sio katiba.... kubadilisha katiba Unafaa uite referendum....hyo sheria mtu yeyote anaweza enda kortini na ai pindue hata Rais akiweka saini yake haitajalisha ....know the difference .....hata kumtoa Chief justice, Uhuru ni mpaka aitishe Kura hawezi ambia Ikulu ama Bunge imtoe haina uwezo...ngoja uone by 26th hyo sheria na vipengele walio ongeza itakuvutiliwa mbali!!...tayari upinzani ushaenda kortini!!!...hakutakuwa na Kura hata hivyo!!!!

Kuna difference kati ya

1. SHERIA

2. KATIBA

angekuwa amebadili katiba kenya wakati huu hakunge kalika .....hyo ni Sheria amebatili

Kama sheria haiambatani na kanuni zilizo wekwa katika katiba mtu anaenda kortini na kuweka kesa yake na ku convince ma jajii kuwa sheria hyo haiambatani na katiba ya nchi ...basi inambidii amfanye jaji aelewe akielewa anatoa uamuzi wake iwapo sheria hyo itatumika au laaa....

Okiya omtata ambaye ni civil activist ameenda tayari Kortini kuitupilia mbali sheria hio....

Hata bado Uhuru hajaiweka saini yake kwa sheria hyo!!!...

Kubadilisha Katiba nchini Kenya utahitaji

Kura ili ujur maoni ya watu.....

Jinsi ya Kupata Kura ni Kuchukua

Saini ya watu
Millioni moja na ID number zao na Kusubmit kwa IEBC for Referendum au

Kuchukua Kesi yako kwa Bunge na kupata Kura 2/3 ya wabunge wote lower na Upper house alafu ndio uende tena kuitisha kura ya maoni Elections....

Hakuna kitu ya maana Uhuru amefanya that is why no opposition leader recognises anything he has done since nullyfication ...akipoteza kiti chake ako liable yo criminal amd jail terms kwa amount of breaches amefanyia Katiba

Na hyo ndio inamwogopesha juu akipoteza kiti yake Utaona more than 30% of Jubilee mps go for criminal hearings to answer for the breach they have done on constitution kama
~Kubadilisha sheria peke yao bila wapinzani
~kutumia ma katibu wa wizara kupiga kampaign
~kutumia statehouse kupiga campaigns
~kuambia wakenya wasilipe kodi kwa serikali ya kaunti ya mombasa
~kutumia wizara za serikali vibaya kama polisi
~kupandisha na kushukisha bei za unga atakavyo.

Anyway wacha akazane Kenya tutaona miezi moto zijazo nina uhakika Uhur hatakuwa Rais wangu more than a Year from now...hata akwamilie aje hatoweza.......Jela na ICC ndio wanafaa waende na wabunge wao kadhaa kujibu mashtaka ya uuwaji kwa kutumia polisi, kupoteza pesa za umma etc!!!!

Yote nayosema Mwanzi1
Uhuru hana nguvu za kubadilisha katiba Kenya

Ila ni sheria amebadilisha
Hivi unafikiri kuandika maneno mengi na kiswahili kilicho pinda ndo hoja?

Kwanza unaposema Watanzania hawajui Katiba ya Kenya na Sheria zake ni umbumbumbu wako.

Nakusema Sheria na Katiba si Kama Tanzania zipo mbali, ni uelewa mdogo unakusumbua.

Kote Kenya na Tanzania, Sheria zinatokana na Katiba, na unacho sema kubatilishwa kwa Seria ni rahisi kuliko Katiba ndivyo ilivyo kote.

Chamuhimu hapo ni Uhuru wa Mahakama ya Kenya upo juu zaidi ya Tanzania, nawana weza kubadili Sheria bila kuogopa Shinikizo.

Ugumu wa kumuondoa Jaji Mkuu upo kote hata Tanzania, tunatofautiana tuu Mchakato wakumpata.

Jibu hoja kwa hoja bila kujificha kwenye kichaka Cha Ukenya.
 
Kuna Sheria
Kuna Katiba
Sheria zinafaa zifwate kanuni za Katiba ili ziwe sheria kama hazifwati katiba basi sio sheria mwafaka

Ninaweka reply yangu kama thread ili muelewe mnayo ongelea juu naona tu mna kurupuka kuweka mawazo yenu yasiyo na any standing kwa issue za Kenya msiyo yaelewa

Kenya ina Sheria na Katiba haya mawili sio kitu moja ila zina tegemeana!!....sio kama tanzania ambayo sheria ziko embedded kwa katiba...hapa juu sheria na katiba ni vitu mbili tofauti!!
Wameveruga Sheria Mwanzi1 wala sio katiba.... kubadilisha katiba Unafaa uite referendum....hyo sheria mtu yeyote anaweza enda kortini na ai pindue hata Rais akiweka saini yake haitajalisha ....know the difference .....hata kumtoa Chief justice, Uhuru ni mpaka aitishe Kura hawezi ambia Ikulu ama Bunge imtoe haina uwezo...ngoja uone by 26th hyo sheria na vipengele walio ongeza itakuvutiliwa mbali!!...tayari upinzani ushaenda kortini!!!...hakutakuwa na Kura hata hivyo!!!!

Kuna difference kati ya

1. SHERIA

2. KATIBA

angekuwa amebadili katiba kenya wakati huu hakunge kalika .....hyo ni Sheria amebatili

Kama sheria haiambatani na kanuni zilizo wekwa katika katiba mtu anaenda kortini na kuweka kesa yake na ku convince ma jajii kuwa sheria hyo haiambatani na katiba ya nchi ...basi inambidii amfanye jaji aelewe akielewa anatoa uamuzi wake iwapo sheria hyo itatumika au laaa....

Okiya omtata ambaye ni civil activist ameenda tayari Kortini kuitupilia mbali sheria hio....

Hata bado Uhuru hajaiweka saini yake kwa sheria hyo!!!...

Kubadilisha Katiba nchini Kenya utahitaji

Kura ili ujur maoni ya watu.....

Jinsi ya Kupata Kura ni Kuchukua

Saini ya watu
Millioni moja na ID number zao na Kusubmit kwa IEBC for Referendum au

Kuchukua Kesi yako kwa Bunge na kupata Kura 2/3 ya wabunge wote lower na Upper house alafu ndio uende tena kuitisha kura ya maoni Elections....

Hakuna kitu ya maana Uhuru amefanya that is why no opposition leader recognises anything he has done since nullyfication ...akipoteza kiti chake ako liable yo criminal amd jail terms kwa amount of breaches amefanyia Katiba

Na hyo ndio inamwogopesha juu akipoteza kiti yake Utaona more than 30% of Jubilee mps go for criminal hearings to answer for the breach they have done on constitution kama
~Kubadilisha sheria peke yao bila wapinzani
~kutumia ma katibu wa wizara kupiga kampaign
~kutumia statehouse kupiga campaigns
~kuambia wakenya wasilipe kodi kwa serikali ya kaunti ya mombasa
~kutumia wizara za serikali vibaya kama polisi
~kupandisha na kushukisha bei za unga atakavyo.

Anyway wacha akazane Kenya tutaona miezi moto zijazo nina uhakika Uhur hatakuwa Rais wangu more than a Year from now...hata akwamilie aje hatoweza.......Jela na ICC ndio wanafaa waende na wabunge wao kadhaa kujibu mashtaka ya uuwaji kwa kutumia polisi, kupoteza pesa za umma etc!!!!

Yote nayosema Mwanzi1
Uhuru hana nguvu za kubadilisha katiba Kenya

Ila ni sheria amebadilisha
Sam ulikuwa na point lakini nadhani emotions zimekuchanganya umeanza kujichanganya!

Kwanza nakushauri ukiandika kitu uwe unaweza kukijustfy! Kwa mfano umesema katiba na sheria za tz ziko embedded pamoja! Unaweza kulithibitisha hili? Na kama huwezi kulithibitisha hili basi utakuwa unawakilisha kundi kubwa sana la wakenya wenzio ambao ni mbumbumbu kwenye masuala yanayoendelea wenye nchi nyingine!

Lakini kuonyesha kuwa pengine unachokiongea hukijui, umetuhakikishia kuwa hapo Kenya katiba na sheria ni vitu viwili tofauti! Basi tunakubaliana na hilo!

Sikitiko langu ni pale unaposhindwa kusimamia kauli yako hii na kujikuta unasema kuwa eti ikitokea uhuru akashindwa uchaguzi, basi lazima yeye na 30% ya mp wa jubelee watafikishwa korokoroni kwa kile unachosema ni KUVUNJA SHERIA YA KENYA KWA KUBADILISHA SHERIA BILA KUFUATA UTARATIBU

Sasa ndg yangu Sammuel999 kipi ni kipi hapa? Huoni kuwa tunarudi pale pale kuwa kuvunja sheria ni sawa na kuvunja katiba ya nchi maana sheria zote zipo kwa mujibu wa katiba?


Mwisho, kile ambacho watu wengi wamekuwa wanaongea humu ni huo utaratibu usioeleweka wa kubadili vifungu vya sheria haraka haraka vya kuwalinda UHURUTO, huku kila siku mkiimba ngonjera humu na kusifiwa na wasiojua takwimu kuwa mna demokrasia kubwa?

Utaratibu anaoufanya Kenyata kubadili sheria hauna tofauti na anaofanya Mseven na kagame!
 
Hawa ndio vijana wasomi wa kenya!!! Jaribu kukaa kwa utulivu uandike kwa evidences na references.
 
tell them sir...these southerners, they cant even tell the difference between a constitution amendment and a referendum...elimu yao iko chini sana...pili, hawana uhuru wa kuuliza maswali....rais ndiye mwanzo na mwisho wa sheria...atawakamata na kuwafinya mirija mtu atakapotamka neno moja...mwulize Lissu ama Lowasa
Nyie mna uhuru gani wa kuhoji, tangu August mwaka huu polisi wameshaua zaidi ya raia 50 kwa kosa la kuandamana tu, wengine watoto kabisa wako wa hawana hatia yoyote. Mara ya mwisho kusikia raia ameuliwa kwenye maandamano Tz ni lini?
 
Nyie mna uhuru gani wa kuhoji, tangu August mwaka huu polisi wameshaua zaidi ya raia 50 kwa kosa la kuandamana tu, wengine watoto kabisa wako wa hawana hatia yoyote. Mara ya mwisho kusikia raia ameuliwa kwenye maandamano Tz ni lini?
Tz mnauliwa hata kabla fikra ya kundamana ifike hatua ya kufanya kweli. Au unadhani hatujui kuhusu shughli za kuogelea zinazoendelea pale Coco Beach?
 
Tz mnauliwa hata kabla fikra ya kundamana ifike hatua ya kufanya kweli. Au unadhani hatujui kuhusu shughli za kuogelea zinazoendelea pale Coco Beach?
Umesikia nani kapoteza ndugu yake wewe ? Tz ukiongea ujinga utapewa kesi yako na kuishia kulipa 7m Tsh, hakuna mauaji ya kijinga kijinga huku. Ndio maana Lissu kujeruhiwa na risasi tu imekuwa inshu wakati Kenga watu wanauliwa kabisa kwa makumi ila ni kitu cha kawaida.
 
Tz mnauliwa hata kabla fikra ya kundamana ifike hatua ya kufanya kweli. Au unadhani hatujui kuhusu shughli za kuogelea zinazoendelea pale Coco Beach?
Umeskia wapi mtu analalamika kuwa kapotelewa na ndg yake?
 
Kuna Sheria
Kuna Katiba
Sheria zinafaa zifwate kanuni za Katiba ili ziwe sheria kama hazifwati katiba basi sio sheria mwafaka

Ninaweka reply yangu kama thread ili muelewe mnayo ongelea juu naona tu mna kurupuka kuweka mawazo yenu yasiyo na any standing kwa issue za Kenya msiyo yaelewa

Kenya ina Sheria na Katiba haya mawili sio kitu moja ila zina tegemeana!!....sio kama tanzania ambayo sheria ziko embedded kwa katiba...hapa juu sheria na katiba ni vitu mbili tofauti!!
Wameveruga Sheria Mwanzi1 wala sio katiba.... kubadilisha katiba Unafaa uite referendum....hyo sheria mtu yeyote anaweza enda kortini na ai pindue hata Rais akiweka saini yake haitajalisha ....know the difference .....hata kumtoa Chief justice, Uhuru ni mpaka aitishe Kura hawezi ambia Ikulu ama Bunge imtoe haina uwezo...ngoja uone by 26th hyo sheria na vipengele walio ongeza itakuvutiliwa mbali!!...tayari upinzani ushaenda kortini!!!...hakutakuwa na Kura hata hivyo!!!!

Kuna difference kati ya

1. SHERIA

2. KATIBA

angekuwa amebadili katiba kenya wakati huu hakunge kalika .....hyo ni Sheria amebatili

Kama sheria haiambatani na kanuni zilizo wekwa katika katiba mtu anaenda kortini na kuweka kesa yake na ku convince ma jajii kuwa sheria hyo haiambatani na katiba ya nchi ...basi inambidii amfanye jaji aelewe akielewa anatoa uamuzi wake iwapo sheria hyo itatumika au laaa....

Okiya omtata ambaye ni civil activist ameenda tayari Kortini kuitupilia mbali sheria hio....

Hata bado Uhuru hajaiweka saini yake kwa sheria hyo!!!...

Kubadilisha Katiba nchini Kenya utahitaji

Kura ili ujur maoni ya watu.....

Jinsi ya Kupata Kura ni Kuchukua

Saini ya watu
Millioni moja na ID number zao na Kusubmit kwa IEBC for Referendum au

Kuchukua Kesi yako kwa Bunge na kupata Kura 2/3 ya wabunge wote lower na Upper house alafu ndio uende tena kuitisha kura ya maoni Elections....

Hakuna kitu ya maana Uhuru amefanya that is why no opposition leader recognises anything he has done since nullyfication ...akipoteza kiti chake ako liable yo criminal amd jail terms kwa amount of breaches amefanyia Katiba

Na hyo ndio inamwogopesha juu akipoteza kiti yake Utaona more than 30% of Jubilee mps go for criminal hearings to answer for the breach they have done on constitution kama
~Kubadilisha sheria peke yao bila wapinzani
~kutumia ma katibu wa wizara kupiga kampaign
~kutumia statehouse kupiga campaigns
~kuambia wakenya wasilipe kodi kwa serikali ya kaunti ya mombasa
~kutumia wizara za serikali vibaya kama polisi
~kupandisha na kushukisha bei za unga atakavyo.

Anyway wacha akazane Kenya tutaona miezi moto zijazo nina uhakika Uhur hatakuwa Rais wangu more than a Year from now...hata akwamilie aje hatoweza.......Jela na ICC ndio wanafaa waende na wabunge wao kadhaa kujibu mashtaka ya uuwaji kwa kutumia polisi, kupoteza pesa za umma etc!!!!

Yote nayosema Mwanzi1
Uhuru hana nguvu za kubadilisha katiba Kenya

Ila ni sheria amebadilisha
Punguza gongo
 
Waoga kabisa, nani atajitokeza kusema amepoteza ndugu yake? Si pia yeye ataogelea tu? Hakunaga wanaume kabisa huko.
Hilo sio suala la kubishania, labda kama na wewe unatafuta political attention.

Miili kuokotwa kwenye fukwe za bahari haijaanza kutokea tz, nenda maeneo mengi ambayo yanakumbwa na tatizo la kusafirisha wahamiaji haram hasa kupitia njia ya maji mambo kama haya hutokea mara kwa mara!
 
Hilo sio suala la kubishania, labda kama na wewe unatafuta political attention.

Miili kuokotwa kwenye fukwe za bahari haijaanza kutokea tz, nenda maeneo mengi ambayo yanakumbwa na tatizo la kusafirisha wahamiaji haram hasa kupitia njia ya maji mambo kama haya hutokea mara kwa mara!
juzi juzi kwenye ufukwe wa ziwa nyasa upande wa Malawi iliokotwa miili zaidi ya ishirini ya waethiopia waliokuwa wanaelekea RSA.
so this is normal in reparian countries.
 
Tz mnauliwa hata kabla fikra ya kundamana ifike hatua ya kufanya kweli. Au unadhani hatujui kuhusu shughli za kuogelea zinazoendelea pale Coco Beach?
Hizo maiti wala sio za kisiasa bongo, hakuna walioreport kupotelewa. Na inasemekana zinatokea Msumbiji
 
Povu kwa waTZ
Hawa watu hua hawaelewi Kenya ndio maana kila siku watajipata wakiwa wamekosea kwa prediction zao, mara utaskia wakenya watachapana hivi karibuni, mara sijui watatupiku....
 
Kuna Sheria
Kuna Katiba
Sheria zinafaa zifwate kanuni za Katiba ili ziwe sheria kama hazifwati katiba basi sio sheria mwafaka

Ninaweka reply yangu kama thread ili muelewe mnayo ongelea juu naona tu mna kurupuka kuweka mawazo yenu yasiyo na any standing kwa issue za Kenya msiyo yaelewa

Kenya ina Sheria na Katiba haya mawili sio kitu moja ila zina tegemeana!!....sio kama tanzania ambayo sheria ziko embedded kwa katiba...hapa juu sheria na katiba ni vitu mbili tofauti!!
Wameveruga Sheria Mwanzi1 wala sio katiba.... kubadilisha katiba Unafaa uite referendum....hyo sheria mtu yeyote anaweza enda kortini na ai pindue hata Rais akiweka saini yake haitajalisha ....know the difference .....hata kumtoa Chief justice, Uhuru ni mpaka aitishe Kura hawezi ambia Ikulu ama Bunge imtoe haina uwezo...ngoja uone by 26th hyo sheria na vipengele walio ongeza itakuvutiliwa mbali!!...tayari upinzani ushaenda kortini!!!...hakutakuwa na Kura hata hivyo!!!!

Kuna difference kati ya

1. SHERIA

2. KATIBA

angekuwa amebadili katiba kenya wakati huu hakunge kalika .....hyo ni Sheria amebatili

Kama sheria haiambatani na kanuni zilizo wekwa katika katiba mtu anaenda kortini na kuweka kesa yake na ku convince ma jajii kuwa sheria hyo haiambatani na katiba ya nchi ...basi inambidii amfanye jaji aelewe akielewa anatoa uamuzi wake iwapo sheria hyo itatumika au laaa....

Okiya omtata ambaye ni civil activist ameenda tayari Kortini kuitupilia mbali sheria hio....

Hata bado Uhuru hajaiweka saini yake kwa sheria hyo!!!...

Kubadilisha Katiba nchini Kenya utahitaji

Kura ili ujur maoni ya watu.....

Jinsi ya Kupata Kura ni Kuchukua

Saini ya watu
Millioni moja na ID number zao na Kusubmit kwa IEBC for Referendum au

Kuchukua Kesi yako kwa Bunge na kupata Kura 2/3 ya wabunge wote lower na Upper house alafu ndio uende tena kuitisha kura ya maoni Elections....

Hakuna kitu ya maana Uhuru amefanya that is why no opposition leader recognises anything he has done since nullyfication ...akipoteza kiti chake ako liable yo criminal amd jail terms kwa amount of breaches amefanyia Katiba

Na hyo ndio inamwogopesha juu akipoteza kiti yake Utaona more than 30% of Jubilee mps go for criminal hearings to answer for the breach they have done on constitution kama
~Kubadilisha sheria peke yao bila wapinzani
~kutumia ma katibu wa wizara kupiga kampaign
~kutumia statehouse kupiga campaigns
~kuambia wakenya wasilipe kodi kwa serikali ya kaunti ya mombasa
~kutumia wizara za serikali vibaya kama polisi
~kupandisha na kushukisha bei za unga atakavyo.

Anyway wacha akazane Kenya tutaona miezi moto zijazo nina uhakika Uhur hatakuwa Rais wangu more than a Year from now...hata akwamilie aje hatoweza.......Jela na ICC ndio wanafaa waende na wabunge wao kadhaa kujibu mashtaka ya uuwaji kwa kutumia polisi, kupoteza pesa za umma etc!!!!

Yote nayosema Mwanzi1
Uhuru hana nguvu za kubadilisha katiba Kenya

Ila ni sheria amebadilisha

Usilete campaign za Nasa kwa platform ya Tanzania.
Nasa MPs walked out of the debates. They can't be forced.

Everything else you've said is nonsense.
 
Back
Top Bottom