Kwa waalimu

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
300
Wadau hv inakuwaje? utakuta m2 alipangwa/ajira labda MKOANI RUVUMA ndan ya wiki moja unakuta kabadilishiwa abda ARUSHA, Hv utaratibu gan unafanyikaa? napnda kufahamu
 
mkuu hakuna kinachoshindikana,kama waliweze kukupangia Ruvuma watashindwaje kukupangia Arusha?,ila nadhan ukitaka kupata chakula kizur unachopenda ni kuwah jikoni kwa wapishi.nafikir umenipata mkuu
 
mkuu hakuna kinachoshindikana,kama waliweze kukupangia Ruvuma watashindwaje kukupangia Arusha?,ila nadhan ukitaka kupata chakula kizur unachopenda ni kuwah jikoni kwa wapishi.nafikir umenipata mkuu

shukran Vp best unaweza nisaidia walau ni2mie mbinu gan?
 
shukran Vp best unaweza nisaidia walau ni2mie mbinu gan?

kwani umepangiwa wap? Au ndo ajira mpya ya mwezi wa 3?,kama ni ajira mpya ya mwezi wa tatu wahi pale wizaran kwa kawambwa mtafute mtu anayeweza kukupa channel upangiwe sehemu unayotaka ilatachangia gharama za uendeshaji.nadhani umenipata mkuu.
 
kwani umepangiwa wap? Au ndo ajira mpya ya mwezi wa 3?,kama ni ajira mpya ya mwezi wa tatu wahi pale wizaran kwa kawambwa mtafute mtu anayeweza kukupa channel upangiwe sehemu unayotaka ilatachangia gharama za uendeshaji.nadhani umenipata mkuu.

unamwambia ajira mwezi wa tatu una uhakika? watampiga 2 pesa, ajira itatoka muda wowote kuanzia sasa, hivyo km michakato ameshachelewa sana!! watu washapanga kila ki2 awe mpole mpaka kitu kitoke ndipo aangelie alipopangwa km hakupapenda ndio aanze mchakato faster wa kubadili. UTALIZWA, mjini hapa wajanja mpaka ikulu sembuse wizarani!!!
 
Ni kweli ndg yetu,point ya msingi vumilia hadi hapo ajira zitakapotoka then waweza kukomaa na mkurugenzi ili akupangie sehemu yenye unafuu,,vumilia kaka muda wenyewe umeenda sana nasikia ajira zinaweza kutangazwa february
 
Jamani walimu wenzangu salama ipo?basi mimi napenda kuwakaribisha katika taasisi mpya ya elimu inayo umdwa na walimu haswa ili kuangalia upya maendeleo ya ki elimu na wadau wa pande zote.Taasisi hii bado inawahitaji wajumbe au wana chama.Inategemea kufanya kazi kitaifa na huenda ki bara. Kwa jina inaitwa AFRICAN EDUCATION EMPOWERMENT NETWORK (AFREEN) Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mwenyekiti wake R.Humphrey,au Katibu J.Stephen au basi fika Hydary plaza makao yake makuu si kwa kuishi bali kituo chake cha safari kuelekea mikoani.Mawasiliano humuhumu utapata jibu ukiweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…