Kwa 'Wabobezi' wa Siasa na Uongozi huu 'Ugonjwa' na kumshuhudia na kumfuatilia Mpinzani wako unaitwaje?

Kwa 'Wabobezi' wa Siasa na Uongozi huu 'Ugonjwa' na kumshuhudia na kumfuatilia Mpinzani wako unaitwaje?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Unajijua kabisa kuwa unamchukia 'Mtemi' mpya 'anayesimikwa' leo huko 'Omba Omba Land' na pengine tokea 'akuangushe' kwa Kiwango cha 84.4 katika Mpambano wake na Yeye umemtishia mno kumuharibia na mpaka kumshtakia kwa 'Wazungu' ambao nao leo hii 'wanaibiana' Kura huko Michigan, Georgia, Wisconsin na Pennsylvania lakini tokea Asubuhi hadi muda huu 'umeganda' katika 'Runinga' yako ukishuhudia 'tukio' la Adui.

Kuna Mtu kaniambia hili nalo ni tatizo la 'Akili' hivyo basi kwakuwa 'Wadau' wa JamiiForums ni 'Werevu' sana hapa mtanisaidia kunielewesha nami.
 
Lissu akiwa na njaa ya hela,wewe utakuwa na hali gani?
Mtu ni mwanasheria,amehudumu bungeni kwa miaka 7 na kidogo,Makamu mwenyekiti wa CDM,amekuwa Rais wa TLS,mkewe naye ni mwanasheria!Mtu huyu unaweza kusema ana njaa?Labda mimi sielewi maana ya njaa!
Kwa CV ya Lissu,anaweza kwenda Ulaya au Marekani na akapata kazi nzuri tu!
njaa ya madaraka..
 
Niliyemquote anasema njaa ya hela!Njaa ya madaraka kila mtu anayo,ndio maana pamoja na JPM kulalamika urais ni mzigo ila bado akagombea tena!
Chezea kupigiwa gwaride na misaluti kibao!
naam naam nimekupata. .
 
Lissu akiwa na njaa ya hela,wewe utakuwa na hali gani?
Mtu ni mwanasheria,amehudumu bungeni kwa miaka 7 na kidogo,Makamu mwenyekiti wa CDM,amekuwa Rais wa TLS,mkewe naye ni mwanasheria!Mtu huyu unaweza kusema ana njaa?Labda mimi sielewi maana ya njaa!
Kwa CV ya Lissu,anaweza kwenda Ulaya au Marekani na akapata kazi nzuri tu!
bwege ww mkubwa kiswahili nilichotumia hapo ulipaswa uelewe kuwa njaa ya hela na mandate ya kuchota hela kwenye hazina ya tanzania pimbi ww
 
Shenzi mkubwa wewe!Unadhani kila mtu ni mwizi kama mlivyo ninyi maCCM?Nchi hii mafisadi yote tokea nchi ipate uhuru yanatoka humo humo CCM!Tena mengine hayataki hata kukaguliwa maeneo yanakopigia pesa,mengine yalitoa nyumba kwa hawara,fala wew!
Hapa nawaona wapuuzi tu...hamuwezi kubishana kipuuzi wakati wote hamnufaiki na chochote....
 
mkuu lissu ana njaa ya hela ndo maana lissu kila akiongea utackia wanajichotea tu mahela ndo maana midomo imempauka kwa kupayuka sana
Unaweza kukuta huyu ni mtu mzima au Mzee ila uwezo wa akili yake ni sifuri.
 
mkuu lissu ana njaa ya hela ndo maana lissu kila akiongea utackia wanajichotea tu mahela ndo maana midomo imempauka kwa kupayuka sana
Wanajichotea au hawajichotei?
 
siasa huwa hazina adui wa kudumu.Hawa wote ni watanzania na wana mambo yao ya kisiasa kushauriana kujenga nchi yao pendwa
 
MIMI LEO WALA HATA SIKUTAKA KUJUA KINACHOENDELEA KWENYE TV ZA TANZANIA, KWASABABU NITAUMIZA TU AKILI YANGU BURE
 
Back
Top Bottom