GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Duh!Wahi Taasisi ya Magonjwa ya akili - Mirembe tafadhali. Au leo umesahau kunywa dawa zako!?
Maisha bila unafiki hayaendi ndo maana hatuangalii tbc ila tunajua wanapendelea upande mmojaUnajuaje kamaa huyo ambaye haangalii ndiye mlalamikaji?Tuache unafiki usio na maana!
njaa ya madaraka..Lissu akiwa na njaa ya hela,wewe utakuwa na hali gani?
Mtu ni mwanasheria,amehudumu bungeni kwa miaka 7 na kidogo,Makamu mwenyekiti wa CDM,amekuwa Rais wa TLS,mkewe naye ni mwanasheria!Mtu huyu unaweza kusema ana njaa?Labda mimi sielewi maana ya njaa!
Kwa CV ya Lissu,anaweza kwenda Ulaya au Marekani na akapata kazi nzuri tu!
naam naam nimekupata. .Niliyemquote anasema njaa ya hela!Njaa ya madaraka kila mtu anayo,ndio maana pamoja na JPM kulalamika urais ni mzigo ila bado akagombea tena!
Chezea kupigiwa gwaride na misaluti kibao!
bwege ww mkubwa kiswahili nilichotumia hapo ulipaswa uelewe kuwa njaa ya hela na mandate ya kuchota hela kwenye hazina ya tanzania pimbi wwLissu akiwa na njaa ya hela,wewe utakuwa na hali gani?
Mtu ni mwanasheria,amehudumu bungeni kwa miaka 7 na kidogo,Makamu mwenyekiti wa CDM,amekuwa Rais wa TLS,mkewe naye ni mwanasheria!Mtu huyu unaweza kusema ana njaa?Labda mimi sielewi maana ya njaa!
Kwa CV ya Lissu,anaweza kwenda Ulaya au Marekani na akapata kazi nzuri tu!
Hapa nawaona wapuuzi tu...hamuwezi kubishana kipuuzi wakati wote hamnufaiki na chochote....Shenzi mkubwa wewe!Unadhani kila mtu ni mwizi kama mlivyo ninyi maCCM?Nchi hii mafisadi yote tokea nchi ipate uhuru yanatoka humo humo CCM!Tena mengine hayataki hata kukaguliwa maeneo yanakopigia pesa,mengine yalitoa nyumba kwa hawara,fala wew!
Unaweza kukuta huyu ni mtu mzima au Mzee ila uwezo wa akili yake ni sifuri.mkuu lissu ana njaa ya hela ndo maana lissu kila akiongea utackia wanajichotea tu mahela ndo maana midomo imempauka kwa kupayuka sana
Wewe mwenyewe ni mpuuzi mpaka unaingilia mambo ya wapuuzi!Hapa nawaona wapuuzi tu...hamuwezi kubishana kipuuzi wakati wote hamnufaiki na chochote....
Wanajichotea au hawajichotei?mkuu lissu ana njaa ya hela ndo maana lissu kila akiongea utackia wanajichotea tu mahela ndo maana midomo imempauka kwa kupayuka sana