wakomong'we
Member
- Oct 28, 2011
- 30
- 2
Ndugu wana Board,kuna vitu vinanitatizi sana kuhusu Uchumi wa dunia ulivyo kwa sasa.
Kwanza kabisa fedha ya Taifa fulani kuwa super currency wanaangalia vitu gani mfano ilivyo US $,Pound ya Uingereza na zingine nyingi.Kama moja ya factor ni uzalishaji basi nilitegemea kwa kipindi cha miaka mitatu mpaka minne ingekuwa JAPAN maana uzalishaji wa Taifa hili ulikuwa uko juu sana,Na kwa sasa ni CHINA ambapo uzalishaji wa Taifa hili uko juu sana naweza sema kwa sasa China wanazalisha kila kitu unachokifahamu kipo hapa duniani.Narudi kwenye hoja yangu ,Kwa kuwa Tanzania na Dunia nzima inanua product za China kwa nini tusitumie currency ya China (yuan) kununua na kuuza bidhaaa zetu ukizingatia kuwa Exchange rate ya fedha ya Kichina haifiki hata Tshs 300 ukibadili, ambapo US Dolla 1 = 1584 Tshs,ambapo tukitumia fedha ya China (yuan) tunaweza kununua product nyingi zaidi ukilinganisha na US $.Kwa mfano unakuta mtu anaenda China kununua bidhaa anatafuta US $, sasa kwa nini huyu mtu asitafute yuani ya China? Najua kuna swala la currency revaluation lakini hilo nafikiri halituzui kuona wapi kuna unafuu wa kuweza kununua product nyingi.
PILI, Kwa nini uingereza currency yao iko juu sana ukilinganisha na currency za nchi nyingine mfano US $,Euro,Canadian Dollar zingine nyingi? Je factor inayotumika hapa ni ipi? na Why not Tanzania?
Naomba kuwasilisha ndugu zanguni.JF is more than a school, naamini sana
Kwanza kabisa fedha ya Taifa fulani kuwa super currency wanaangalia vitu gani mfano ilivyo US $,Pound ya Uingereza na zingine nyingi.Kama moja ya factor ni uzalishaji basi nilitegemea kwa kipindi cha miaka mitatu mpaka minne ingekuwa JAPAN maana uzalishaji wa Taifa hili ulikuwa uko juu sana,Na kwa sasa ni CHINA ambapo uzalishaji wa Taifa hili uko juu sana naweza sema kwa sasa China wanazalisha kila kitu unachokifahamu kipo hapa duniani.Narudi kwenye hoja yangu ,Kwa kuwa Tanzania na Dunia nzima inanua product za China kwa nini tusitumie currency ya China (yuan) kununua na kuuza bidhaaa zetu ukizingatia kuwa Exchange rate ya fedha ya Kichina haifiki hata Tshs 300 ukibadili, ambapo US Dolla 1 = 1584 Tshs,ambapo tukitumia fedha ya China (yuan) tunaweza kununua product nyingi zaidi ukilinganisha na US $.Kwa mfano unakuta mtu anaenda China kununua bidhaa anatafuta US $, sasa kwa nini huyu mtu asitafute yuani ya China? Najua kuna swala la currency revaluation lakini hilo nafikiri halituzui kuona wapi kuna unafuu wa kuweza kununua product nyingi.
PILI, Kwa nini uingereza currency yao iko juu sana ukilinganisha na currency za nchi nyingine mfano US $,Euro,Canadian Dollar zingine nyingi? Je factor inayotumika hapa ni ipi? na Why not Tanzania?
Naomba kuwasilisha ndugu zanguni.JF is more than a school, naamini sana