Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Mie nina "mzigo" sheikh
Ile mizigo ya sheikh kipozeo 😀
ASANTE KWA TAARIFA...MIE MDAU WA HIZO VITU ZA SHEIKH WETU UJUWEEE....NAOMBA NIJIKARIBISHE INBOX KWAKO KWA MJAKATO WA UMILIKI JAPO WA MSIMAMO WA UCKU MMOJA KIZUNGU 1 NIGHT STAND
 
Evelyn.....upo???
 
Nipo, sasa huku ndo pa kurushia tongozo sio kule kwenye ishu za maana.... Enheee nakusikiliza
Please fungua basi profile nkucheki kweli eti ....au kama vp nifollow maana nimejarb kuku-PM imeshindikana
....
 
 
Nilikuwa nilikuwa nasikia tu ila sijawahi hata kushuhudia kumbe watu wanavaa kweli.
hawa wavaa masponji wana moto wao pekeeyao😆😆😆

kuna siku jamaangu alitoka na mja mmoja baada ya kuvutiwa na uwekezaji wake uko nyuma akijua ni uwekezaji halisi🤣🤣🤣lahaula lakwata wamefika rum bana ile wameingia tu sasa si kuna zile nenda rudi za bafuni za kuoga na nn inaelekea bidada yule akatumia muda ule kuchomoa hayo masponji akayaficha bila jamaa kuyaona☻️☻️kutahamaki jamaa kajikuta yupo na kimodo flatskrini akabaki kushangaa na roho yake huyu kabadilika saangapi🤣🤣🤣maana sio yule kawa mwingine au imekuwaje😳
 
kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Kapicha kake tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…