LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,642
Kuna ndoa na ushuzi wa ndoa, hivi jumbe nae ni mwanaume wa kuoa yuleMbona alishawahi kuolewa na jumbe usisahau na kwenye bongomovie anaolewaga[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ndoa na ushuzi wa ndoa, hivi jumbe nae ni mwanaume wa kuoa yuleMbona alishawahi kuolewa na jumbe usisahau na kwenye bongomovie anaolewaga[emoji23][emoji23][emoji23]
ASANTE KWA TAARIFA...MIE MDAU WA HIZO VITU ZA SHEIKH WETU UJUWEEE....NAOMBA NIJIKARIBISHE INBOX KWAKO KWA MJAKATO WA UMILIKI JAPO WA MSIMAMO WA UCKU MMOJA KIZUNGU 1 NIGHT STANDMie nina "mzigo" sheikh
Ile mizigo ya sheikh kipozeo 😀
Evelyn.....upo???Good morning jf.....
Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu
View attachment 428643
Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.
Nawashauri kwanini msitumie hii
View attachment 428648
Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
Nipo, sasa huku ndo pa kurushia tongozo sio kule kwenye ishu za maana.... Enheee nakusikilizaEvelyn.....upo???
Please fungua basi profile nkucheki kweli eti ....au kama vp nifollow maana nimejarb kuku-PM imeshindikanaNipo, sasa huku ndo pa kurushia tongozo sio kule kwenye ishu za maana.... Enheee nakusikiliza
Good morning jf.....
Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu
View attachment 428643
Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.
Nawashauri kwanini msitumie hii
View attachment 428648
Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
Nipo, sasa huku ndo pa kurushia tongozo sio kule kwenye ishu za maana.... Enheee nakusikiliza
Kuumbeeee!
mmh tutaanza kuyabinya tuone kama ni real au fake.... mambo ya sponge hapana
Sina uhakika ila nadhani inakua kama bikini tu, bikini haileti kero
Evelyn Salt anatangaza biashara hapo.
hawa wavaa masponji wana moto wao pekeeyao😆😆😆Nilikuwa nilikuwa nasikia tu ila sijawahi hata kushuhudia kumbe watu wanavaa kweli.
Kapicha kake tafadhalikuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya