Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

hahaha kazi inaanza pale unapochojioahaya magodoro.........
 
Hakika mimi sijibebeshi zigo lisilo na maana ukitoka nje umejazia ukirudi ndani umeungulia! Sasa unayajaza kwa ajili ya nani wakati wa ndani anajua huna,huna basi
 
Wavae tu ila waboreshe si wanataka wawe na kitonga
Kitonga cha asubuhi maporomoko ya jioni, sasa unamdanganya nani kwa mfano! Huku ni kujitesa tu na nafsi yako maana ukilivua na pumzi unashusha Oopsii [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] na Mungu unamshukuru kwa mambo ya kijiinga
 
Mimi ni mmoja wa wanawake wasiokua na Msambwanda lakini naifurahia tu hali yangu ya kitako changu cha kukalia Baiskeli, nnachohakikisha nakichomekea kweli najipura yaani nang'ara mpaka nikitoka na baba Mwenye chake anajitanua mikono mfukoni...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi ni mmoja wa wanawake wasiokua na Msambwanda lakini naifurahia tu hali yangu ya kitako changu cha kukalia Baiskeli, nnachohakikisha nakichomekea kweli najipura yaani nang'ara mpaka nikitoka na baba Mwenye chake anajitanua mikono mfukoni...
mimi sasa nataka nibadilishe dress design kwa kweli sababu na sehemu inavuta nataka niiweke hadharanis sasa hahahaha
 
I see una experience ya kutosha sana na wewe unakaa uswazi kama mimi eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…