Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Good morning jf.....

Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu

sexy-women-butt-lifter-tummy-control-hip.jpg


Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.

Nawashauri kwanini msitumie hii
51xO+2jChYL._UL1500_.jpg

Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
 
Wana kazi wanaotafuta kuwapendeza watu.
Hivi, kujibebesha vitu vyote hvo unatafuta nn na ili iweje? Kama ni kupendwa unataka wangapi wawe wako na ili iweje???
Mwanamke n kujiamini na kujikubali, kuna anayekupenda ulivyo hivyo.
Au vipi jaman?????????????????
ndiyo ukweli ,, mwishowe tuapate magonjwa hayana majina
 
Ila Eve umenichekesha.
Nilikuwa nilikuwa nasikia tu ila sijawahi hata kushuhudia kumbe watu wanavaa kweli.
Huko nikujichosha tu mimi nadhani kujikubali ni the best solution.
Ilimradi ujue tu nini nikivaa kinanikaa vizuri nakunipendeza na nini hakinifai.
Cha kujiaibisha mana unaweza upendeze ila kama ikatokea ukapata hao vidume uliowatega kwa staili hiyo ukiwa nae faragha unavuaje?
Au ndio mambo gizani ukishikwa tako linakutwa flat wakati uluonekana umejazia.
Kweli kazi tunayo wadada.
 
Ila Eve umenichekesha.
Nilikuwa nilikuwa nasikia tu ila sijawahi hata kushuhudia kumbe watu wanavaa kweli.
Huko nikujichosha tu mimi nadhani kujikubali ni the best solution.
Ilimradi ujue tu nini nikivaa kinanikaa vizuri nakunipendeza na nini hakinifai.
Cha kujiaibisha mana unaweza upendeze ila kama ikatokea ukapata hao vidume uliowatega kwa staili hiyo ukiwa nae faragha unavuaje?
Au ndio mambo gizani ukishikwa tako linakutwa flat wakati uluonekana umejazia.
Kweli kazi tunayo wadada.
Hizo sponge zipo, mdada mwingine hapa juzi kanionesha duh tight lina mahips teh nikamuuliza kwahiyo ukifika kwa shem lake unasasambuaje, akasema bwana ake hajui hayo mambo anajua ni tight tu.....asee wanaume wanadorishiwa misamaki wakifika geto wanalishwa vidagaa
 
Hivi ninyi wanawake nani kawaambia michura yenu inapendwa sa-a-na? Hamjui wanaume wanawasanifu wapige hit and run waishie? Ukitaka kujua ndio hivyo angalia bibi harusi. Ni wachache sana wenye miwowowo lakini ndio waliopendwa mpaka kuolewa
 
Hivi ninyi wanawake nani kawaambia michura yenu inapendwa sa-a-na? Hamjui wanaume wanawasanifu wapige hit and run waishie? Ukitaka kujua ndio hivyo angalia bibi harusi. Ni wachache sana wenye miwowowo lakini ndio waliopendwa mpaka kuolewa
Hadi ma bibi harusi wanavaa vigodoro.... Trust me
Afu anaejifanya kuspend na mwenye matako kama Madame B hivi afu anaoa flat jua atarudi tu kutafuta matako sasa shida ya nini kwanini usikae tu na msambwanda ndani
 
Good morning jf.....

Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao wanatamani kupainua inua kuvutia utalii wa ndani na wa nje.
Leo nimejisikia tu kuwashauri watumiaji wa hii kitu

View attachment 428643

Sponge au vigodoro, asee hii kitu haiwapendezi hata kidogo, kuna dada majuzi kwenye sherehe alikuwa kavaa kigodoro alikua ni kituko yani nadhani akili yake ilikua inamwambia huku nyuma ana kakitonga flani hivi ila mmmh yani kigauni cha mpira anaonekana kabisa kavaa sponge vitako vimekaa vibaya
Mwingine nae mara upande moja liko juu upande mwingine lipo chini.

Nawashauri kwanini msitumie hii
View attachment 428648
Nahisi ukiivaa unakua comfortable, tako linakaa vizuri na linanyanyuliwa tu hakutakua na moja juu jingine chini.
Ni hivo tu.
Tofauti kati ya A na B ni ninii?
 
Tofauti kati ya A na B ni ninii?
A ni tight yenye kisponge ndani.
Ikivaliwa haikai vizuri, sponge inaweza kukaa upande hivo tako moja liwe juu, jingine chini, au sponge zikajikusanya kifupi haipendezi

B. Ni tight yenye matundu kama unavoiona inaitwa butty lifter nadhani.
Yenyewe haiongezi matako ila inafanya yawe na mwonekano mzuri make yanapigwa tu jeki
 
A ni tight yenye kisponge ndani.
Ikivaliwa haikai vizuri, sponge inaweza kukaa upande hivo tako moja liwe juu, jingine chini, au sponge zikajikusanya kifupi haipendezi

B. Ni tight yenye matundu kama unavoiona inaitwa butty lifter nadhani.
Yenyewe haiongezi matako ila inafanya yawe na mwonekano mzuri make yanapigwa tu jeki

Sasa kile kipande kilichopita mferejini hakileti kero??
 
Hizo sponge zipo, mdada mwingine hapa juzi kanionesha duh tight lina mahips teh nikamuuliza kwahiyo ukifika kwa shem lake unasasambuaje, akasema bwana ake hajui hayo mambo anajua ni tight tu.....asee wanaume wanadorishiwa misamaki wakifika geto wanalishwa vidagaa
Mbona na wewe unavaa masponji?
 
Hizo sponge zipo, mdada mwingine hapa juzi kanionesha duh tight lina mahips teh nikamuuliza kwahiyo ukifika kwa shem lake unasasambuaje, akasema bwana ake hajui hayo mambo anajua ni tight tu.....asee wanaume wanadorishiwa misamaki wakifika geto wanalishwa vidagaa
mmh tutaanza kuyabinya tuone kama ni real au fake.... mambo ya sponge hapana
 
Back
Top Bottom