Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
- #21
Ukoo mzima hawana ujinga huo.Mkuu vipi mama yako na dada zako vipi hawavai hayo madude?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukoo mzima hawana ujinga huo.Mkuu vipi mama yako na dada zako vipi hawavai hayo madude?
Kwanza nyie kabila gani?Ukoo mzima hawana ujinga huo.
We unahisi natokea wapi au wewe ni mgeni humu jf? Muulize shemeji yangu Cha mdeko au Mzigua atakwambia.Kwanza nyie kabila gani?
Orijino wanazidi kuozea makwao mnafurahisha genge tu hapaNaunga mkono hoja yako binafsi sipendi mtu fake [emoji5]
Orijino wanazidi kuozea makwao mnafurahisha genge tu hapa
Ndo hivyo hao orijinali wanaozea makwao hamuwaoi!!Kama mtu anaweza kufake nywele atashindwaje kufake mahusiano ?
Hahahaaaa. Kweli rafiki?Naunga mkono hoja yako binafsi sipendi mtu fake [emoji5]
Wewe rafiki kwa upande wako imekaaje?Aisee
Hahahaaaa. Kweli rafiki?
Sababu wanaovaa hayo makitu ni wengi sana na wanapendwa mpaka basi.
Poa poa Mkuu.Mkuu, ndo maana nimesema binafsi ... naamini kwamba watu wengi wanawapenda wa hivyo
Mie sijawahi vaa hiyo kitu ila kwa wanaovaa kama wanazingatia usafi sidhani kama kuna tatizo.
Mie katika maisha yangu ya kila siku huwa navaa Ushungi , hivyo nywele zangu nikishazisuka zinatosha kabisa sihitaji za kuongeza.Kwann hauvai?
Mie katika maisha yangu ya kila siku huwa navaa Ushungi , hivyo nywele zangu nikishazisuka zinatosha kabisa sihitaji za kuongeza.
Ahsante sana. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120][emoji122][emoji122][emoji122]
Nimekupenda bure
Mimi rafiki naona yote sawa tu kwakweli ilimradi muhusika mwenyewe awe anajitambua na hayo makofia manyoya yao, yaani ajue baada ya muda flani anatakiwa kulitoa na kusafisha kichwaWewe rafiki kwa upande wako imekaaje?
Hahaaa. Kweli kabisa rafiki. Na yakivaliwa kwa usafi huwa sidhani kama yanakuwa na shida.Mimi rafiki naona yote sawa tu kwakweli ilimradi muhusika mwenyewe awe anajitambua na hayo makofia manyoya yao, yaani ajue baada ya muda flani anatakiwa kulitoa na kusafisha kichwa