Kwa wadada wenzangu: tuwe makini na aina hii ya wanaume.......


Siku zote unanibariki kwa michango yako....asante kwa analysis ya kisomi na yenye utafiti wa ukweli sana....Mungu akubariki....nafikiri imetosha kwa mawazo yako kufunga hii thread.....
 
ulipokuwa na hashycool ulikuwa unaongea ma pumba tu, tangu ukuwe close na mimi sku hizi unaongea ma pointi ya kufa mtu. dah! kweli ukikaa na klorokwini lazima utashine tu. bandiko limetulia

bek to ze topik: mbona waaminifu hatupo katika bandiko lako? unatubagua ujue
 
Da Michelle lazima utakua una degree ya Education tu japo sielewi kama ni yapale UDSM au lah!!!!

Nimekusoma, nimekuelewa!! Big up ma sis!! umenipigisha hatua, na kunitia moyo pia

that's why i lov u!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

I SALUTE YOU KLORO....kweli umefanya kazi ya ziada....jamani Hashy...u wapi???
 
Da Michelle lazima utakua una degree ya Education tu japo sielewi kama ni yapale UDSM au lah!!!!

Nimekusoma, nimekuelewa!! Big up ma sis!! umenipigisha hatua, na kunitia moyo pia

that's why i lov u!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Ha ha ha ha ha......thank you Susy

You know i love you even more, i hope you are doing well on that matter....mi wish to hear from you!!!

Enjoy your weekend!!!
 
Hii ni maalumu kwa tunaotakiwa kuwaogopa! We ukiwa mmoja wapo!
baba mchungaji yupo around, nitakuPM baadae kuhakikisha hauna tatizo lolote. ni kwa nia njema tu. dini zote zinahubiri upendo.
 
I SALUTE YOU KLORO....kweli umefanya kazi ya ziada....jamani Hashy...u wapi???
hashy ni mwanaume malengo mbele. alimzuga mdada wa watu anafanya Sheraton , majuzi amefumwa na mdada anachimba vyoo uswahilini, kwavile mdada ni memba wa JF, hashy anaiogopa JF kuliko tripoli libya
 
hashy ni mwanaume malengo mbele. alimzuga mdada wa watu anafanya Sheraton , majuzi amefumwa na mdada anachimba vyoo uswahilini, kwavile mdada ni memba wa JF, hashy anaiogopa JF kuliko tripoli libya

:A S 13::A S 13: Uongo mbaya sana....sasa ananipoteza na mimi jamani? ila bado nampenda na U-plumber wake.....:rain:
 
:A S 13::A S 13: Uongo mbaya sana....sasa ananipoteza na mimi jamani? ila bado nampenda na U-plumber wake.....:rain:
behind every keyboard there is a mystery hiding . by klorokwini

bek to ze topik: nikiread btn them lines umesema unaongea from eksperiens, ina maana ushatendwa na wote hao? i mean , malengo mbele , waharakishaji a.k.a vodafasta na maneno mengi? ukijibu suala hili litafatia suala la nyongeza
 

ndiyo wameshanitenda....
 
ndiyo wameshanitenda....
sasa ningeomba unieleweshe hivi malengo mbele unamjuaje? sababu kila nikiangalia naona lazima tuweke malengo ndio mambo yatokee. sasa baada ya sredi hii utasababisha nikimpa malengo lizzy , yeye ataniona mimi ni malengo mbele tu wakati kumbe mimi niko serious. naomba ufafanue hii ili kuweka sawa lizzy asije akanielewa vibaya nikimpa malengo yangu serious
 

malengo mbele ni yule ambaye hata kabla hajakufahamu jina ashakuambia atakuoa.....yaani yeye haitaji kukufahamu kukupa iyo ahadi....ila ukikosea ukampa mzigo....safari ndo inakuwa imeanza....l.o.l......kama Lizzy,yabidi uwe makini....she is smart....take your time to know her well,make her your friend and you can talk.....si mnakutana club tu unataka one night stand unaanza na promise za ndoa na watoto....umenielewa sema unajidai tu kusumbua kichwa changu na kimechoka.....!!!
 
nimekuelewa sasa, nani kachokesha kichwa chako nimpoteze katika ramani ya ulimwengu? unajua mimi naweza kuvumilia watu wote kukerwa hapa JF lakini sio wewe. naomba unipunguze hasira kabla sijachukua uamuzi mbaya
 
nimekuelewa sasa, nani kachokesha kichwa chako nimpoteze katika ramani ya ulimwengu? unajua mimi naweza kuvumilia watu wote kukerwa hapa JF lakini sio wewe. naomba unipunguze hasira kabla sijachukua uamuzi mbaya

wewe ndo umenichokesha...:rain:
 
baba mchungaji yupo around, nitakuPM baadae kuhakikisha hauna tatizo lolote. ni kwa nia njema tu. dini zote zinahubiri upendo.

Ndo maana nakupenda Kloro kwasababu unajali!Ngoja nikupe kabisa mahitaji yangu uje nayo PM!Mchele kilo 10...mafuta lita 5...Nyama kilo 2, ya ng'ombe tafadhali..Vitunguu na viazi kisado na nyanya debe!Oh bila kusahau soda 5 za jumapili!
 
Ndo maana nakupenda Kloro kwasababu unajali!Ngoja nikupe kabisa mahitaji yangu uje nayo PM!Mchele kilo 10...mafuta lita 5...Nyama kilo 2, ya ng'ombe tafadhali..Vitunguu na viazi kisado na nyanya debe!Oh bila kusahau soda 5 za jumapili!
naomba utafautishe baina ya mpenzi na waiter. khaa! na ma vitunguu tena?
 
Hehehe dearest mpe somo huyo asidhani usanii haujulikani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…