Kwa wadau wa muziki wa zamani, ni nani huyu??

Kwa wadau wa muziki wa zamani, ni nani huyu??

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Screenshot_20240204-135631.png
 
Kumbe humu kumejaa watoto! Kama kipindi cha tamtam-tunda ni zamani?
Kwamba aliyefurahia "tunda tamu tamu" ni mtoto?

Walioifurahia "Kamanda" ya Daz Nundaz, "Mtoto wa geti kali", taarabu ya 1999/2000, Athumani mlevi, Mwanangu huna nidhamu, ndio hao hao wamesikiliza akina Beta Musica, Muumin, n.k

Jua ni watu wanaocheza na 35 kwenda mbele....kama ni wa kike, kuna wenye watoto wako elimu za upili; mtoto kwako ni yupi hapo?
 
Kwamba aliyefurahia "tunda tamu tamu" ni mtoto?

Walioifurahia "Kamanda" ya Daz Nundaz, "Mtoto wa geti kali", taarabu ya 1999/2000, Athumani mlevi, Mwanangu huna nidhamu, ndio hao hao wamesikiliza akina Beta Musica, Muumin, n.k

Jua ni watu wanaocheza na 35 kwenda mbele....kama ni wa kike, kuna wenye watoto wako elimu za upili; mtoto kwako ni yupi hapo?
Jf wote ni wazeee wamezaliwa 60 na 70s
 
Back
Top Bottom