mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
= kataa ndowaaaamzee wa oa acha, oa acha
😂 😂 😂 😂 😂 NAKAZIA= kataa ndowaaaa
Kwamba aliyefurahia "tunda tamu tamu" ni mtoto?Kumbe humu kumejaa watoto! Kama kipindi cha tamtam-tunda ni zamani?
Jf wote ni wazeee wamezaliwa 60 na 70sKwamba aliyefurahia "tunda tamu tamu" ni mtoto?
Walioifurahia "Kamanda" ya Daz Nundaz, "Mtoto wa geti kali", taarabu ya 1999/2000, Athumani mlevi, Mwanangu huna nidhamu, ndio hao hao wamesikiliza akina Beta Musica, Muumin, n.k
Jua ni watu wanaocheza na 35 kwenda mbele....kama ni wa kike, kuna wenye watoto wako elimu za upili; mtoto kwako ni yupi hapo?