Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

Dumejr

Member
Joined
Feb 16, 2021
Posts
71
Reaction score
70
Habarini niende kwenye mada moja kwa moja uzi huu ni kwa ajili ya wafanyabiashara walionza kwa mitaji midogo na mpaka sasa wamefanikiwa naomba mtupe ilikuaje abc za aina za biashara mlizoanza nazo mpaka mkafanikiwa changamoto zake pamoja na ushauri kwa wale wanaotaka kuanza biashara wafanye kipi na kipi wasikifanye.
 
Habarini niende kwenye mada moja kwa moja uzi huu ni kwa ajili ya wafanyabiashara walionza kwa mitaji midogo na mpaka sasa wamefanikiwa naomba mtupe ilikuaje abc za aina za biashara mlizoanza nazo mpaka mkafanikiwa changamoto zake pamoja na ushauri kwa wale wanaotaka 2 biashara wafanye kipi na kipi wasikifanye.
Wanakuja..

Ningeshauri kitu lakini mimi bado sijafikia hatua ya kusema nimefanikiwa kibiashara.
 
Habarini niende kwenye mada moja kwa moja uzi huu ni kwa ajili ya wafanyabiashara walionza kwa mitaji midogo na mpaka sasa wamefanikiwa naomba mtupe ilikuaje abc za aina za biashara mlizoanza nazo mpaka mkafanikiwa changamoto zake pamoja na ushauri kwa wale wanaotaka kuanza biashara wafanye kipi na kipi wasikifanye.
Mafanikio kwenye biashara ni Web wa many factors. Ni bonge la mtandao wa mambo mbali mbali.
1. Akili
2. Akili ya biashara
3. Determination
4. Commitment
Hata hivyo mambo mengi ya biashara yalishaandikwa kwenye kitabu cha "The Richest Man in Babylon".
 
Back
Top Bottom