Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

Naona watu weng wanashaur kama biashara ndogo faid uingize kweny biashar ila Katika njia mzuri za kufeli kweny biashara ni kuingiza faida moja kwa moja kweny biashara kwasababu ikifeli umefeli mazima huna hata akiba ya kuanzia pia unaweza kupoteza fursa nying sana anaweza kutokea mtu anauza mzigo bei chee ila wewe huna pesa yote ipo kweny mzunguko, iliyosawa tenga fedha ya mtaji faida weka pemben halaf utakuwa unaiingiza kweny mzunguko kwa kiasi itakavyohitajika, itakusaidia kusevu mambo meng pia biashara hata ikiyumba unaiboost mwenyw kupitia faida uliyoiweka pemben hata ikitokea ajali (allah atuepushie) basi huumizi kichwa pakuanzia tofaut na ikiwa pesa yote ipo kweny mzunguko.
 
Naona watu weng wanashaur kama biashara ndogo faid uingize kweny biashar ila Katika njia mzuri za kufeli kweny biashara ni kuingiza faida moja kwa moja kweny biashara kwasababu ikifeli umefeli mazima huna hata akiba ya kuanzia pia unaweza kupoteza fursa nying sana anaweza kutokea mtu anauza mzigo bei chee ila wewe huna pesa yote ipo kweny mzunguko, iliyosawa tenga fedha ya mtaji faida weka pemben halaf utakuwa unaiingiza kweny mzunguko kwa kiasi itakavyohitajika, itakusaidia kusevu mambo meng pia biashara hata ikiyumba unaiboost mwenyw kupitia faida uliyoiweka pemben hata ikitokea ajali (allah atuepushie) basi huumizi kichwa pakuanzia tofaut na ikiwa pesa yote ipo kweny mzunguko.
Sawa mkuu nitazingatia hilo
 
Ingia kwanza, changamoto ndo zitakupa majibu ya maswali yako kijana.
Naamini kuna changamoto ambazo ni common kwenye biashara wafanyabiashara wanazijua wenyewe ni bora huzitaje ili ziweze kutusaidia kuziepuka
 
Naona watu weng wanashaur kama biashara ndogo faid uingize kweny biashar ila Katika njia mzuri za kufeli kweny biashara ni kuingiza faida moja kwa moja kweny biashara kwasababu ikifeli umefeli mazima huna hata akiba ya kuanzia pia unaweza kupoteza fursa nying sana anaweza kutokea mtu anauza mzigo bei chee ila wewe huna pesa yote ipo kweny mzunguko, iliyosawa tenga fedha ya mtaji faida weka pemben halaf utakuwa unaiingiza kweny mzunguko kwa kiasi itakavyohitajika, itakusaidia kusevu mambo meng pia biashara hata ikiyumba unaiboost mwenyw kupitia faida uliyoiweka pemben hata ikitokea ajali (allah atuepushie) basi huumizi kichwa pakuanzia tofaut na ikiwa pesa yote ipo kweny mzunguko.
Wewe unaelezea saving. Saving ni maamuzi mengine ya kibiashara.
 
We jamaa unaonekana unapenda hela sana nini maana ya jamii forums kuweka majukwaa kama haya basi ni pm nikupe hela unipe ushauri
Ni kweli napenda sana hela na ninagharamia ili kuipata hiyo hela , ogopa sana mtu anayependa vya bure bure.
 
Ni kweli napenda sana hela na ninagharamia ili kuipata hiyo hela , ogopa sana mtu anayependa vya bure bure.
Nimekuambia uni pm nikupe hela unipe ushauri hio bure imetoka wapi alafu soma vizurii uelewe sijaomba mtu hela hapa na kila mtu ana uhuru wa kuuliza anachokitaka hapa iwe bure au kwa hela inategemea na mhusika anataka nn naomba unikaushie kama huna cha maana cha kuchangia
 
Nimekuambia uni pm nikupe hela unipe ushauri hio bure imetoka wapi alafu soma vizurii uelewe sijaomba mtu hela hapa na kila mtu ana uhuru wa kuuliza anachokitaka hapa iwe bure au kwa hela inategemea na mhusika anataka nn naomba unikaushie kama huna cha maana cha kuchangia
Umetumwa eeh! Kwani lazima ushauri utoke kwangu, chukua mmoja wapo kati ya huo uliopewa, vilevile punguza hasira, kuwa mnyenyekevu, kuna mtu umemwajiri hapa? Kama sio, hasira za nini? tulia, maisha hayaendi hivyo, nahisi unataka kunidhuru.
 
Wewe unaelezea saving. Saving ni maamuzi mengine ya kibiashara.
Bila kuweka savings katika faida unayopata katika biashara yako ni tatizo kubwa sana.

Yaani ukisema kila faida unayoipata uirudishe kwenye biashara siku biashara ikiyumba aiseee utakuwa kituko kwa watu.... Ni bora zaidi kuwa na backup ambayo ni savings, assets, n.k
 
Back
Top Bottom