Wanakuja..Habarini niende kwenye mada moja kwa moja uzi huu ni kwa ajili ya wafanyabiashara walionza kwa mitaji midogo na mpaka sasa wamefanikiwa naomba mtupe ilikuaje abc za aina za biashara mlizoanza nazo mpaka mkafanikiwa changamoto zake pamoja na ushauri kwa wale wanaotaka 2 biashara wafanye kipi na kipi wasikifanye.
Mafanikio kwenye biashara ni Web wa many factors. Ni bonge la mtandao wa mambo mbali mbali.Habarini niende kwenye mada moja kwa moja uzi huu ni kwa ajili ya wafanyabiashara walionza kwa mitaji midogo na mpaka sasa wamefanikiwa naomba mtupe ilikuaje abc za aina za biashara mlizoanza nazo mpaka mkafanikiwa changamoto zake pamoja na ushauri kwa wale wanaotaka kuanza biashara wafanye kipi na kipi wasikifanye.
Hata kwa hatua uliyofikia kama ni kubwa kuliko iliyopita unaweza changia mkuuWanakuja..
Ningeshauri kitu lakini mimi bado sijafikia hatua ya kusema nimefanikiwa kibiashara.
ChangiaTupo
Ni lazima ukae kitaalamu!Hata kwa hatua uliyofikia kama ni kubwa kuliko iliyopita unaweza changia mkuu
Samahani mkuu fafanua kidogo hapo kitaalamu kiajeNi lazima ukae kitaalamu!
Naamini wapo watu wema wataweza kuchangia humubiashara ni siri ya mtu ata kama hamjui kwa kivuli cha id na profile picha bandia hakuna atakae kuambia jinsi alivyoanza biashara yake
Mkuu unafanya biashara gan?1. Ukianza na mtaji mdogo, ukipata faida, peleka tena kwenye biashara. Siyo kuila. Reinvest the children, grandchildren grand grand children kama hujafanikiwa.
Asante sana mkuu4. Focus on one thing and only one thing until it is well established.