dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Naombeni mnipe maujanja jinsi mnavyoweza kusonga mbele pamoja nakuwa na malundo ya kodi.. Hasa biashara ya MAFUTA
1. Corporate tax
2. Services levy
3. Jamaa wa OSHA
4. Fire
5. Rental tax kama umekodi
6. Business license kila mwaka una renew
7. Kodi ya bango yani hii imeniuma sana nimelipa 1.2M jamani?!!
8. Bado Ewura hawajaja kung'ata
9. Bado jamaa wamazingira hawajavamia ( Nemc)
10. Vipimo nao wapo
11. Halafu hapo kulipa mishahara bado
12. Namalizia na majambazi ndio funga kazi.
Nisaidieni ujanja jamani pale juu nimesahau.
13.Payee
Mnawezaje kusonga mbele maana naona kiza kimeanza kutanda kwangu.
1. Corporate tax
2. Services levy
3. Jamaa wa OSHA
4. Fire
5. Rental tax kama umekodi
6. Business license kila mwaka una renew
7. Kodi ya bango yani hii imeniuma sana nimelipa 1.2M jamani?!!
8. Bado Ewura hawajaja kung'ata
9. Bado jamaa wamazingira hawajavamia ( Nemc)
10. Vipimo nao wapo
11. Halafu hapo kulipa mishahara bado
12. Namalizia na majambazi ndio funga kazi.
Nisaidieni ujanja jamani pale juu nimesahau.
13.Payee
Mnawezaje kusonga mbele maana naona kiza kimeanza kutanda kwangu.