yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,668
- 1,017
Kwa wafugaji wa hivyo vitoweo mahali popote pale Tz tuwasiliane kwa pm
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.