Sungura ni alifugwa, hare ni sungura mwitu. I stand to be corrected.
Kwa hiyo huyu Hare akiletwa nyumbani kufugwa anakuwa Rabbit? Au wale Simba waliofugwa Arusha kwenye cages wamekuwa nyau !!!!!!!
Ni kweli Rabbit ni wa nyumbani na Hare ni wa porini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sungura ni alifugwa, hare ni sungura mwitu. I stand to be corrected.
Kwa hiyo huyu Hare akiletwa nyumbani kufugwa anakuwa Rabbit? Au wale Simba waliofugwa Arusha kwenye cages wamekuwa nyau !!!!!!!
Ni kweli Rabbit ni wa nyumbani na Hare ni wa porini.
lol we nae?!!Kwa hiyo huyu Hare akiletwa nyumbani kufugwa anakuwa Rabbit? Au wale Simba waliofugwa Arusha kwenye cages wamekuwa nyau !!!!!!!
Ni kweli Rabbit ni wa nyumbani na Hare ni wa porini.
Simbilisi kwa kizungu ndo anaitwa GUINEA PIG
Ebola inahusika hapo.Nimefuga sana sungura nikiwa mdogo,jamaa wakaja kuwabeba kama wao(wezi).
wapo pale nje ya kijiji cha makumbusho - Dar.
huyu mleta mada yupo wapi .... Simbilis ninao .... sungura pia ninao ..... nipo kwenye pilot project ....
nitajikita zaidi kwenye commercial rabbit farming .... nimeanza kutafuta masoko locally kwanza .... the future of the venture smells lucrative
Majibu pleaseUko na breed gani?? Na unauza shillings ngapi????
NdioSamahani kiongozi, eti simbilisi ndo pimbi?
Sio pimbi ni mipanya isiyo na mkia haifugiki.simbilisi yuko kama panya ila ana marangi rangiNdio