Kwa wafugaji wa hivyo vitoweo mahali popote pale Tz tuwasiliane kwa pm
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.
Ukitaka kupata simbilisi wengi nenda sehemu za iringa..Mimi bibi Yangu alikuwa na simbilisi wasiopungua 2500 ..niliwafaidi sana maana ni watamu sana..sungura wanapatikana sana mikoa ya nyanda za juu kusini... maana kule kunaspecie nyingi za majani na mimea ambayo ni chakula cha wanyama...
Kwa wafugaji wa hivyo vitoweo mahali popote pale Tz tuwasiliane kwa pm
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.
Ukitaka kupata simbilisi wengi nenda sehemu za iringa..Mimi bibi Yangu alikuwa na simbilisi wasiopungua 2500 ..niliwafaidi sana maana ni watamu sana..sungura wanapatikana sana mikoa ya nyanda za juu kusini... maana kule kunaspecie nyingi za majani na mimea ambayo ni chakula cha wanyama...
ahsante mkuu ntafuatilia
Kwa wafugaji wa hivyo vitoweo mahali popote pale Tz tuwasiliane kwa pm
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.
Ukitaka kupata simbilisi wengi nenda sehemu za iringa..Mimi bibi Yangu alikuwa na simbilisi wasiopungua 2500 ..niliwafaidi sana maana ni watamu sana..sungura wanapatikana sana mikoa ya nyanda za juu kusini... maana kule kunaspecie nyingi za majani na mimea ambayo ni chakula cha wanyama...
simbilisi ndio kwa jina lingine wanaitwa pimbi?
Kwa wafugaji wa hivyo vitoweo mahali popote pale Tz tuwasiliane kwa pm
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.
simbilisi ndio kwa jina lingine wanaitwa pimbi?
Jina lingine wanaitwa Wibari kama sijakosea. Pimbi ni tofauti na simbilisi.
Kwanza umeshapata KIBALI cha kusafirisha(EXPORT PERMIT?)nje ya tz mkuu, naomba unipe utaratibu wake Dakamtumba
Mkuu simbilisi ni nini? Weka picha tafadhaliKwa wafugaji wa hivyo vitoweo mahali popote pale Tz tuwasiliane kwa pm
niko tayari nikufuate popote pale ulipo ili mradi tu unithibitishie kama naweza kuwapata wasiopungua mia tano ila nahitaji zaidi ya mia tano.
Pia naomba wataalam washauri waniambie nawezaje kusafirisha hao viumbe wakiwa hai kwa umbali wa km 6000, ni chakula gani kitafaa, kama ntatumia usafiri wa track niwapakeji kwa kuwarundika pamoja au nitumie vibox nk.
Aksante.
Ukitaka kupata simbilisi wengi nenda sehemu za iringa..Mimi bibi Yangu alikuwa na simbilisi wasiopungua 2500 ..niliwafaidi sana maana ni watamu sana..sungura wanapatikana sana mikoa ya nyanda za juu kusini... maana kule kunaspecie nyingi za majani na mimea ambayo ni chakula cha wanyama...
Mkuu, pimbi nishawahi muona, ila huyo wibari sina idea naye...Jina lingine wanaitwa Wibari kama sijakosea. Pimbi ni tofauti na simbilisi.
Naomba picha tafadhali
Sijawahi kusikia simbilisi ama wimbari. Ila nahisi nishawahi kumuita mtu pimbi.
Please mwenye picha ya simbilisi.
Sijawahi kusikia simbilisi ama wimbari. Ila nahisi nishawahi kumuita mtu pimbi.
Please mwenye picha ya simbilisi.
Mkuu simbilisi ni nini? Weka picha tafadhali
Simbilisi anafanana na panya kwa umbile,ila hana mkia, pia simbilisi hawako na sura moja ktk ngozi zao, wengine wana mabaka,wengine weusi, wengine weusi na weupe, wekundu na weusi kama ilivyo kwa mbuzi na ng`ombe.
Inawezekana hapa tukawa tunajadili mnyama mmoja ktk mazingira tofauti, kwa mfano, hivi wakati gani sungura huwa rabbit na wakati gani huwa Hare ?
Huyo uliyemwita pimbi alikukosea nini?
Sungura ni alifugwa, hare ni sungura mwitu. I stand to be corrected.Simbilisi anafanana na panya kwa umbile,ila hana mkia, pia simbilisi hawako na sura moja ktk ngozi zao, wengine wana mabaka,wengine weusi, wengine weusi na weupe, wekundu na weusi kama ilivyo kwa mbuzi na ng`ombe.
Inawezekana hapa tukawa tunajadili mnyama mmoja ktk mazingira tofauti, kwa mfano, hivi wakati gani sungura huwa rabbit na wakati gani huwa Hare ?