Pre GE2025 Kwa wahandisi kumnunulia rais Samia helicopter na 100,000,000/= je ni kwasababu ya kutowabana wahandisi kwenye miradi ya Umma?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inatakiwa wachuguzwe pesa pesa nyingi kama hizo wamezitoa wapi, na wanataka nini na mama atazirudishaje. Naomba kuuliza kwani Kuna biashara Gani ikulu? wahandisi wanataka kumuweka mama mfukoni?
 
Rushwa pure and simple, Samia asipokee hongo hii,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…