KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,147
wewe na mwenzio inaonyesha jinsi gani mlikuwa mnadesa mitihani yenu. Toka lini ASSET=LIABILITY??? Is that what you call an accountant?
Step up your game, ninyi ndio mnaovamia fani.
sasa mbona hujaonyesha njia umeponda tu,huna lolote na wewe pia..
sasa mbona hujaonyesha njia umeponda tu,huna lolote na wewe pia..
Wote mliotoa mawazo yenu, sioni Mhasibu hata mmoja. Wote nawaona kama si wachumi basi ni makarani wa wahasibu.
Nyumba yako ni MALI (ASSET), regardless umeipataje maadamu ni kwa njia halali.
1. Ukikopa pesa za kununulia nyumba, Liability ni lile deni unalodaiwa sio nyumba yako.
2. Ukikopa pesa na kuweka hati ya nyumba yako rehani, bado nyumba yako ni ASSET. Liability itakuwa ni hilo deni unalodaiwa.
Wahasibu watambue kuwa wakati wowote, ASSET IS EQUAL TO LIABILITY.
Thamani ya nyumba yako as ASSET is equal to Liability(vyanzo vya pesa ya kununulia hiyo nyumba)
Issue ya depreciation au appreciation have nothing to do with a house being an asset or not.
Mhasibu Mkuu naona kidogo kama kuna mchanganyiko,Wote mliotoa mawazo yenu, sioni Mhasibu hata mmoja. Wote nawaona kama si wachumi basi ni makarani wa wahasibu.
Nyumba yako ni MALI (ASSET), regardless umeipataje maadamu ni kwa njia halali.
1. Ukikopa pesa za kununulia nyumba, Liability ni lile deni unalodaiwa sio nyumba yako.
2. Ukikopa pesa na kuweka hati ya nyumba yako rehani, bado nyumba yako ni ASSET. Liability itakuwa ni hilo deni unalodaiwa.
Wahasibu watambue kuwa wakati wowote, ASSET IS EQUAL TO LIABILITY.
Thamani ya nyumba yako as ASSET is equal to Liability(vyanzo vya pesa ya kununulia hiyo nyumba)
Issue ya depreciation au appreciation have nothing to do with a house being an asset or not.
Wote mliotoa mawazo yenu, sioni Mhasibu hata mmoja. Wote nawaona kama si wachumi basi ni makarani wa wahasibu.
Nyumba yako ni MALI (ASSET), regardless umeipataje maadamu ni kwa njia halali.
1. Ukikopa pesa za kununulia nyumba, Liability ni lile deni unalodaiwa sio nyumba yako.
2. Ukikopa pesa na kuweka hati ya nyumba yako rehani, bado nyumba yako ni ASSET. Liability itakuwa ni hilo deni unalodaiwa.
Wahasibu watambue kuwa wakati wowote, ASSET IS EQUAL TO LIABILITY.
Thamani ya nyumba yako as ASSET is equal to Liability(vyanzo vya pesa ya kununulia hiyo nyumba)
Issue ya depreciation au appreciation have nothing to do with a house being an asset or not.
okey kwakuwa umezoea kutafuniwa kila kitu, haya meza na hiyo!
ASSET=CAPITAL+LIABILITIES-DRAWINGS
Nyumba ni asset kama umezaliwa na kuishi tz tu miaka yote na kutembea nchi jiran za africa but kama umetembea na kuiona dunia ilivyo I mean kama umeshafanya fanya connection hethrow,doha, amsterdam na kwingineko nchi za kufika hadi ubadilishe ndege mara kazaa nyumba ni liabilities unless hiyo nyumba ni for business purpose bt kama ni ya kuishi na unaishi mwenyewe ndani ni liabilities over, kama ujanielewa vizuri tembea uione dunia utajua namaanisha nini, over