Kwa Wahenga: Mnaomkumbuka muigizaji Mwanaachia aliigiza na Mzee Majuto na Mzee Small

Kwa Wahenga: Mnaomkumbuka muigizaji Mwanaachia aliigiza na Mzee Majuto na Mzee Small

Pearce

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
667
Reaction score
1,582
Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo

Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu

Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa kwa Sharomilionea na Kanumba na Max

Kwa wanaomkumbuka alikuwepo kwenye Igizo la Masai na Ng’ombe zao akiigiza kama jini

Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
 
Duh nmemkumbuka mzee small
Nlimtimbiaga nyumbani kwake
Alikuwa anakaa tabata kimanga
Nlikuwa na jamaa yangu mmoja mkenya,alikuwa ana mkubali sana mzee small alitaka sana amuone live,at last tukampata yule mkenya alimkatia hela kdg
Mzee small mtu wa familia sana,alipenda sana familia yake

Ova
 
Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo

Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu

Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa kwa Sharomilionea na Kanumba na Max

Kwa wanaomkumbuka alikuwepo kwenye Igizo la Masai na Ng’ombe zao akiigiza kama jini

Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
Picha yake
 
'dunia yetu ya leo kuzaa siyo kupata ewe mola nakuomba mwanangu mpe imani' moja wimbo kwenye movie yake na the late mzee majuto.
 
Onyango Jokanyindo na Mwita Marianya wako wapi?
 
At least nimefaidi faidi kazi za max...alikuwa mtu sana huyu.

Hivi wakuu huyu jamaa wa mizengwe ni mdogo wake na mac au ni hisia zangu tu.
 
Back
Top Bottom