Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile Taswira ya yule jini wa kipindi kile imenikaaa hata sasa, ilinisumbua sanaa those times ,ika nipea njozi za kuogofya sanaa,🤣.Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo
Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu
Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa kwa Sharomilionea na Kanumba na Max
Kwa wanaomkumbuka alikuwepo kwenye Igizo la Masai na Ng’ombe zao akiigiza kama jini
Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
Ameshajibu hili yeye mwenyewe. Hawana undugu wowote ni ufanano tu wa sura na wajihiAt least nimefaidi faidi kazi za max...alikuwa mtu sana huyu.
Hivi wakuu huyu jamaa wa mizengwe ni mdogo wake na mac au ni hisia zangu tu.
Namkumbuka, gongo ilipita nae mapema mnoKwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo
Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu
Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa kwa Sharomilionea na Kanumba na Max
Kwa wanaomkumbuka alikuwepo kwenye Igizo la Masai na Ng’ombe zao akiigiza kama jini
Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
PombeMkuu gongo unamaanisha pombe au lugha ya HIV
Mzee Small, Bi Chau, Mwita Maranya, Onyango, Mpemba n.kCheka na CTN long time sana ,TV chogo Black and White ...Huku Kuna Bi Chau.
Ni Phillips, Hitachi, Sony, Panasonic. SHARP zamani kulikua hakuna Tv za ajabu ajabu kama sasa hivi.Cheka na CTN long time sana ,TV chogo Black and White ...Huku Kuna Bi Chau.
🤣🤣🤣Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
JVC, HYUNDAI, GRUNDING ...Ni Phillips, Hitachi, Sony, Panasonic. SHARP zamani kulikua hakuna Tv za ajabu ajabu kama sasa hivi.
NATIONALJVC, HYUNDAI, GRUNDING ...
National ndiyo hiyo kaweka Panasonic.NATIONAL
Kuna mpaka Leo watu Wana HITACHI ya chogo inatumika yaniNi Phillips, Hitachi, Sony, Panasonic. SHARP zamani kulikua hakuna Tv za ajabu ajabu kama sasa hivi.
Hitachi sijui walipotelea wapi maskini?Ni Phillips, Hitachi, Sony, Panasonic. SHARP zamani kulikua hakuna Tv za ajabu ajabu kama sasa hivi.
Ndg yake kweli baada ya kifo cha Max Crew ya Mizengwe waliamua kumchukua Mkwere kwasababu anafana na kaka yake wakaamua kumfundisha ucheshi ili azibe pengo la Marehem MaxAt least nimefaidi faidi kazi za max...alikuwa mtu sana huyu.
Hivi wakuu huyu jamaa wa mizengwe ni mdogo wake na mac au ni hisia zangu tu.
Duh! Yombayomba ni wa zamani sana comrade, miaka mwanzoni baada ya uhuru. Wakati huo hata yule mwigizaji mzee kabisa kwa sasa, Bi. Thecla Mjata alikuwa msichana tu.Nawakumbuka sana
- Mzee Small
- Bi Chau
- Yombayomba
👍Duh! Yombayomba ni wa zamani sana comrade, miaka mwanzoni baada ya uhuru. Wakati huo hata yule mwigizaji mzee kabisa kwa sasa, Bi. Thecla Mjata alikuwa msichana tu.
Ova