Kwa Wahenga: Mnaomkumbuka muigizaji Mwanaachia aliigiza na Mzee Majuto na Mzee Small

Kwa Wahenga: Mnaomkumbuka muigizaji Mwanaachia aliigiza na Mzee Majuto na Mzee Small

Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo

Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu

Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa kwa Sharomilionea na Kanumba na Max

Kwa wanaomkumbuka alikuwepo kwenye Igizo la Masai na Ng’ombe zao akiigiza kama jini

Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
Ile Taswira ya yule jini wa kipindi kile imenikaaa hata sasa, ilinisumbua sanaa those times ,ika nipea njozi za kuogofya sanaa,🤣.

Kuna muda alicheza kama mganga akawa ana mtibia jamaa fulani chizi ,kaletwa kwake kafungwa kamba. Jamaa akawa anakula misosi ya chizi, Yule akafanya hiiii kitu kuwa personal 🤣....
 
Nilikuwa napenda jinsi Mzee Small na Tupatupa walivyokuwa wanacheka Kama intro ya kipindi. Zamani Sana.
 
Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo

Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu

Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa kwa Sharomilionea na Kanumba na Max

Kwa wanaomkumbuka alikuwepo kwenye Igizo la Masai na Ng’ombe zao akiigiza kama jini

Miaka ya 90 imezidi kuwa mbali kuliko 2024 kufika 2050
Namkumbuka, gongo ilipita nae mapema mno
 
At least nimefaidi faidi kazi za max...alikuwa mtu sana huyu.

Hivi wakuu huyu jamaa wa mizengwe ni mdogo wake na mac au ni hisia zangu tu.
Ndg yake kweli baada ya kifo cha Max Crew ya Mizengwe waliamua kumchukua Mkwere kwasababu anafana na kaka yake wakaamua kumfundisha ucheshi ili azibe pengo la Marehem Max
 
Nawakumbuka sana
  1. Mzee Small
  2. Bi Chau
  3. Yombayomba
Duh! Yombayomba ni wa zamani sana comrade, miaka mwanzoni baada ya uhuru. Wakati huo hata yule mwigizaji mzee kabisa kwa sasa, Bi. Thecla Mjata alikuwa msichana tu.

Ova
 
Duh! Yombayomba ni wa zamani sana comrade, miaka mwanzoni baada ya uhuru. Wakati huo hata yule mwigizaji mzee kabisa kwa sasa, Bi. Thecla Mjata alikuwa msichana tu.

Ova
👍
 
Back
Top Bottom