yeah kitamboNa wewe kumbe ni muhenga?
Let's go dancing uuh laa laa laah. .....
hahahahahahahah jaman Mondray kumbe hujui kusoma jina lako haraka haraka?Nimeona Monday nikajua umemfungulia uzi Mondray..
shida ama raha jamanDah!mmeo anashida aisee!
shida ama raha jaman
naona unaona kinyume mkuu, mumewe ana raha sana
hahahahahhaha ndio tunataka sasa.No nimeona kwa approach aliyoitumia kuna wakati mumewe hujieleza hata kabla hajaulizwa ulipita wapi leo.
hahahahahhaha ndio tunataka sasa.
Acha mjieleze tu hakuna namna
wewe huelezi kwani? nimecheka sana duuuh
Lazima apewe dawa ya mbu ile ya kuchoma.
nani sasa, mume au Kasie mwenyewe
teh teh
umenikumbusha mbali sana, unajua mie mchaga bhana acha nijitambulishe, sasa kule kwetu wanaume hawakubali kushindwa, akiona karibia anashindwa anaomba achomewe ndizi.Yaani hawezi kuni trick na hata kama akiuliza swali la trick nitamzungushazungusha weee hadi alewe kama mbu.
[emoji23] [emoji23] enzi hizo muziki ukiwa muziki haswaaaAaah kasie umenikumbusha mbali sana...Kool and The gang hatari sana