Elections 2010 Kwa Wahusika Chadema: Nina wazo la kusaidia kampeni ya Mh. Slaa

Elections 2010 Kwa Wahusika Chadema: Nina wazo la kusaidia kampeni ya Mh. Slaa

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,273
Kwa waratibu wa kampeni ya Mh. Slaa katika kugombea Urais 2010,

Napenda kuwajulisha tu kuwa nina wazo lililonijia katika siku chache zilizopita ambalo nina amini linaweza kusaidia katika kampeni za urais kwa Mh. Slaa. Ni wazo ambalo ningependa kuongea na wahusika katika kampeni kabla ya kuliweka hadharani mtandaoni.

Basi, kama kuna anayehusika kwa ukaribu na angelipenda nimweleze, naomba awasiliane nami kwa PM hapa JF.

Angalizo 1: Sitajibu PM nitakazo ona ni upotezaji wa muda. PM zote zinukuliwe kwa Invisible, Silencer, Farida, Maxence Melo na PainKiller.

Angalizo 2: Natoa mawazo yangu kusaidia kampeni ya Dr. Slaa kutokana na kumkubali kwangu kwa hoja alizosimamia bungeni. Nikiwa si mwanachama hai wa chama chochote kile cha siasa, mawazo haya niliyonayo ningeliweza kumpatia mgombania urais yeyote yule ambaye ningelikubaliana na rekodi yake kwenye kutetea maendeleo ya Taifa letu.

Natanguliza shukrani zangu.

Steve Dii
 
kwanini njia ndefu hivyo wakati kuna email address za kina slaa,nzito,Mnyika ,Kitila ,kwa nini usi wa PM hayo si wako hapa pia?
 
kwanini njia ndefu hivyo wakati kuna email address za kina slaa,nzito,Mnyika ,Kitila ,kwa nini usi wa PM hayo si wako hapa pia?

Njia hii imekuwa rahisi kwangu. Nashukuru kwa mawaidha.
 
kwanini njia ndefu hivyo wakati kuna email address za kina slaa,nzito,Mnyika ,Kitila ,kwa nini usi wa PM hayo si wako hapa pia?
Mutu

Huyu anataka kupoteza muda bure nani asiyejua msimamo wake dhidi ya Chadema? au anataka kuwashauri hivi

quote_icon.png
Originally Posted by Steve Dii
Shalom, hivi ni kwanini asingeenda Kishapu??!! This p*sses me off badly!!

Kama ni hivi is too late my friend jaribu kwa Makamba.
 
Mutu

Huyu anataka kupoteza muda bure nani asiyejua msimamo wake dhidi ya Chadema? au anataka kuwashauri hivi

Mkuu, mi si mmoja wa wale wanaopenda kujibizana pumba over pumba na kwa mambo ya kusadikika. Naomba uoneshe pahali nilipoandika kuhusu msimamo wangu kuhusu chadema.

Kama ni hivi is too late my friend jaribu kwa Makamba.

Quinine, Je, huo uliuona kuwa ni ushauri?!
 
Lakini Stivu, kwa nini tu usiwasiliane moja kwa moja na CHADEMA? Wana mtandao, wanachama wake kama akina Mnyika, Regia, na wengineo wako fesibuku, why not reach out to them directly? Doing that sounds more logical to me but who am I to say....

Here you are just inviting all kinds of folks to chime in and ultimately hijacking the topic, mudsling, etc....
 
Lakini Stivu, kwa nini tu usiwasiliane moja kwa moja na CHADEMA? Wana mtandao, wanachama wake kama akina Mnyika, Regia, na wengineo wako fesibuku, why not reach out to them directly? Doing that sounds more logical to me but who am I to say....

Here you are just inviting all kinds of folks to chime in and ultimately hijacking the topic, mudsling, etc....

Dawg, I totally agree with you that that might have been an easy option, as seen by you and may be many others. But like I have said before, my thought at conception of thread, this was the easiest option for me. Will stand by it and await response from appropriate parts. Kind regards.

Steve Dii
 
Dawg, I totally agree with you that that might have been an easy option, as seen by you and may be many others. But like I have said before, my thought at conception of thread, this was the easiest option for me. Will stand by it and await response from appropriate parts. Kind regards.

Steve Dii

Aiight mayn...
 
Mutu

Huyu anataka kupoteza muda bure nani asiyejua msimamo wake dhidi ya Chadema? au anataka kuwashauri hivi



Kama ni hivi is too late my friend jaribu kwa Makamba.

Huu ndio msimamo hasi wa washabiki wa kisiasa.... siupendi ukiwa hivi... you ahve to uderstand kwamba sio kila anayechallenge kitu basi ni mpinzani wako, some people oppose some of your proposals but they are still supporting your objectives

when will tanzanians think outside the box??? no wonder our marriages are worse than our work environment

eeiiishh
 
Mimi nachowaomba Chadema ni kusimamisha watu wenye Umaarufu ktk majimbo yoote Tanzania na sii baadhi tu, jambo ambalo linaweza kuwapa ushindi CCM ya jumlisho la hizo kura. Kwa sababu kwa kila jimbo ambalo hawatasimamisha mtu, CCM itakuwa na hesabu ziada ya wapiga kura kiti cha Ubunge na Rais na pengine kuongeza hesabu zaidi ya kura za ushindi wenyewe kufidia mapengo ktk sehemu walizopwaya. Sijui kama nimekosea kulingana na utaratibu wa kura za popular (maarufu)

Chadema wasifanye makosa kabisa kama ya CCM kuweka watu kugombea sehemu kwa sababu ya kuaminiwa na chama badala ya kuwatazama wananchi wanampa dole gumba nani zaidi..
 
Ushauri kwako kakangu sitivu D

Nimejifunza kitu kimoja, baadhi ya watu humu hata ukiwapinga herufi tu kwenye post, basi wewe hufai kuwa nao... hili ndilo tatizo sugu lililopo hata kwenye wizara na idara za serikali yetu kiasi hata ukisema karatasi za PF3 zimeisha, wanasema wewe hupendi nchi wewe ni mzalendo, ukichukua na kutoa potocopy nakala 1000 watasema wewe ni fisadi na umehonga polisi

sijui tufanyeje

Binafsi issue ya mpendazoe kugombea ukonga imenitumbukia nyongo, ni kama ile ya CCM kumyima Nyimbo nafasi... au ile ya sisi kudharau azma nzuri ya CCM kufanya primaries, ingawa zoezi limeharibiwa na walafi

i love Tanzania
 
Huu ndio msimamo hasi wa washabiki wa kisiasa.... siupendi ukiwa hivi... you ahve to uderstand kwamba sio kila anayechallenge kitu basi ni mpinzani wako, some people oppose some of your proposals but they are still supporting your objectives

when will tanzanians think outside the box??? no wonder our marriages are worse than our work environment

eeiiishh
Acid

Sijawahi kukuona ukichangia kitu hata siku moja wewe unasubiri wazee waseme kitu uje kulalamika changia basi hata kidogo au kuchangia kwako ni kwa njia ya kulalamika.
 
Acid

Sijawahi kukuona ukichangia kitu hata siku moja wewe unasubiri wazee waseme kitu uje kulalamika changia basi hata kidogo au kuchangia kwako ni kwa njia ya kulalamika.

What do you mean by "kuchangia"? Kwani hivyo alivyofanya sio "kuchangia"? Kaaazi kwer kwer....
 
What do you mean by "kuchangia"? Kwani hivyo alivyofanya sio "kuchangia"? Kaaazi kwer kwer....
kama kuchangia ni kujaza page haya tuendeleeni hivi hivi tuone kama tutatoka na kitu cha maana.
 
Mutu

Huyu anataka kupoteza muda bure nani asiyejua msimamo wake dhidi ya Chadema? au anataka kuwashauri hivi



Kama ni hivi is too late my friend jaribu kwa Makamba.

kama kuchangia ni kujaza page haya tuendeleeni hivi hivi tuone kama tutatoka na kitu cha maana.

Hapa sijui wewe ndio umechangia au sijui ndio umejaza kurasa tu? I don't know....
 
Acid

Sijawahi kukuona ukichangia kitu hata siku moja wewe unasubiri wazee waseme kitu uje kulalamika changia basi hata kidogo au kuchangia kwako ni kwa njia ya kulalamika.
that is where we differ

sio kila hoja nianzishe mimi, na sio kila angenda wewe/mimi tuunge mkono, cha maana ni kuelewa kwamba watu wana tofautiana. kama nalalamika basi nilikua sijastukia

masikitiko yangu ni kwamba nchi haijengwi kwa mmoja kusema tufanye hiki basi na wote woote tufuate. kubali kwamba hata kwenye kusoma salam maria au al-fatha basi synchronization sio 100%

ukinielewa utanielewa, usiponielewa, hautanielewa
 
Ni jana tu mlikuwa mnasema Chadema haiwezi kupewa nchi leo mnataka kuwa washauri wa Chadema unafiki huo. Hatudanganyiki.
 
Ushauri kwako kakangu sitivu D

Nimejifunza kitu kimoja, baadhi ya watu humu hata ukiwapinga herufi tu kwenye post, basi wewe hufai kuwa nao... hili ndilo tatizo sugu lililopo hata kwenye wizara na idara za serikali yetu kiasi hata ukisema karatasi za PF3 zimeisha, wanasema wewe hupendi nchi wewe ni mzalendo, ukichukua na kutoa potocopy nakala 1000 watasema wewe ni fisadi na umehonga polisi

sijui tufanyeje

Binafsi issue ya mpendazoe kugombea ukonga imenitumbukia nyongo, ni kama ile ya CCM kumyima Nyimbo nafasi... au ile ya sisi kudharau azma nzuri ya CCM kufanya primaries, ingawa zoezi limeharibiwa na walafi

i love Tanzania

Acid,
I concur with you, that is exactly my sentiment following Quinine's remarks, only you could express them more clearer! Kama unavyosema tu, hii ni synopsis of "YES culture" na uendelezaji wake in our society. As long as mtu hukubaliani naye kuhusiana na kitu kimojawapo, be it in or out of context, you totally become a reject and abhorrent before them... The issue about Mpendazoe irked me and I believe many, my objection and hence that immediately personal comment was elaboration of my views from what I read and as an engagement to Shalom's comment on that very particular matter. How many wouldn't have preferred him to go to Kishapu instead of Segerea?! Anyhow, am dead sure many who understands my stance on these forums wouldn't go amiss with my clear intention.
 
Back
Top Bottom