Snitchertz
Member
- Dec 15, 2014
- 26
- 13
Karibuni Wana Jamvi waliopata ajali hii.Siku izi VVU ni kama magonjwa mengine ambayo yanaitaji kuwa kwenye dawa through out your life.Kwangu binafsi magonjwa ambayo nayaogopa yanatisha kuliko ni Cancer na Kisukari.ingawa ukiwa na VVU usipokuwa makini basi kisukari na hata cancer unaweza pata.hapo hiyo cocktail ni deadly.
Sasa kwa sisi ambao tunaishi kwa dawa huwa hatuna forums ambazo tunakutana kujadili hizi issue,kupeana experience,taarifa hata ushauri kwa kuwa umepita na unajua.
Mie ndo mgeni kwenye hili Janga,leo nimepiga kimoja naona nyota saa izi...Napenda mtu anielezee siku yake ya kwanza kuanza pills,how did you feel...ulipitia yapi mpaka ukawa stable leo hii.Na pills gani unatumia.
Kama kuna forum kama hii somewhere naomba link ili niwe nafuatilia.
Karibuni No jokes,serious educative discussion.
Sasa kwa sisi ambao tunaishi kwa dawa huwa hatuna forums ambazo tunakutana kujadili hizi issue,kupeana experience,taarifa hata ushauri kwa kuwa umepita na unajua.
Mie ndo mgeni kwenye hili Janga,leo nimepiga kimoja naona nyota saa izi...Napenda mtu anielezee siku yake ya kwanza kuanza pills,how did you feel...ulipitia yapi mpaka ukawa stable leo hii.Na pills gani unatumia.
Kama kuna forum kama hii somewhere naomba link ili niwe nafuatilia.
Karibuni No jokes,serious educative discussion.