Kwa wajasirimali, Mwaka 2013 uwe mwaka wa Action zaidi kuliko Matendo

Kwa wajasirimali, Mwaka 2013 uwe mwaka wa Action zaidi kuliko Matendo

wajasirimali, Mwaka 2013 uwe
mwaka wa Action zaidi kuliko
Matendo.Matendo=Action,which is which? Au kuliko maneno? PM invisible akusaidie kuedit heading.
 
Asante kwa ushauri kipekee nimeamua kurudi shambani.
 
Mkuu huwezi kuwa Mjasirimali halafu ulie kwamba huna Capital, Ni capital kiasi gani hiyo inayo hitajika mkuu? Unataka kuwekeza kwenye Gesi?

Aidea ndo Primary capital na kama kama Mjasirimali unatakiwa kusonga mbele na ulicho nacho, Vitana watu huenda na walicho nacho una panga wewe songa mbele, Unayo fimbo wewe songa mbele na Unayo Bunduki songa mbele, so hata kama Project yako ni ya Milioni 200 na wewe una Milioni moja tu ni kuanza kazi, ni lazima uonyeshe njia hata kama unataka kushawishi watu uwe tiyali umenyesha njia ni hii

SO MKUU SONGA NA ULICHO NACHO, SAFARI YA UJASIRIMALI NI NGUMU SANA NA MARA NYINGI MATUNDA YA SAFARI HIZI HUONENAKANA BAADA YA MUDA


Mtaji mwingine ni afya yako,kama kijana una afya njema what's going to stand in your way bwana,but inabidi uwe calculated,na pia tatizo tuna-aim too high,kuna njia nyingi za kuongeza capital yako,kama benki umefeli,kukopa kwa marafiki umefeli anza na hicho kidogo ulichonacho kufanya biz ingine unakusanya pesa ili uje kufanya biz ya ndoto zako,usijali kuhusu kupoteza muda kujijenga,kuna watu imewachukua miaka zaidi ya 30 kufanikiwa kibiashara,hakuna biashara isiyolipa.poleni post yangu haina paragraphs.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu huwezi kuwa Mjasirimali halafu ulie kwamba huna Capital, Ni capital kiasi gani hiyo inayo hitajika mkuu? Unataka kuwekeza kwenye Gesi?

Aidea ndo Primary capital na kama kama Mjasirimali unatakiwa kusonga mbele na ulicho nacho, Vitana watu huenda na walicho nacho una panga wewe songa mbele, Unayo fimbo wewe songa mbele na Unayo Bunduki songa mbele, so hata kama Project yako ni ya Milioni 200 na wewe una Milioni moja tu ni kuanza kazi, ni lazima uonyeshe njia hata kama unataka kushawishi watu uwe tiyali umenyesha njia ni hii

SO MKUU SONGA NA ULICHO NACHO, SAFARI YA UJASIRIMALI NI NGUMU SANA NA MARA NYINGI MATUNDA YA SAFARI HIZI HUONENAKANA BAADA YA MUDA

Asante kwa mawazo mazuri mkuu, mimi ningependa kuanza business at least nikishafikisha mtaji wa milioni tano ila kwa sasa nina laki tano na sijui pa kuanzia, naomba nisaidie kimawazo niaanzie wapi?
 
Asante kwa mawazo mazuri mkuu, mimi ningependa kuanza business at least nikishafikisha mtaji wa milioni tano ila kwa sasa nina laki tano na sijui pa kuanzia, naomba nisaidie kimawazo niaanzie wapi?

Mkuu inategemeana na Business unayo taka kuifanya, Hapo Aidea yako ndo itakuongoza kwenye Mtaji unao takiwa, Ila ni vizuri kuanza na ulicho nacho, na kuendelea mbele, hata kama ni kilimo si lazima mtu uanze kwa kulima hkari 100 hata nusu heka kuanza nayo ni hatua kubwa sana mkuu so, ni wewe kujipanga kulingana na wazo lako

Tatizo kubwa linalo tusumbua ni kuingia katika biashara na mawazo ya kutajirika haraka haraka, Ila katika Ujasirimali inahitajika Uvumilivu wa hali ya Juu kabisa mkuu, na Mara nyingi huchukua miaka mingi kuja kufurahia matunda ya kazi yako, Kikubwa ni uvumilivu na kuto kata tamaa kiurahisi
 
Mtaji mwingine ni afya yako,kama kijana una afya njema what's going to stand in your way bwana,but inabidi uwe calculated,na pia tatizo tuna-aim too high,kuna njia nyingi za kuongeza capital yako,kama benki umefeli,kukopa kwa marafiki umefeli anza na hicho kidogo ulichonacho kufanya biz ingine unakusanya pesa ili uje kufanya biz ya ndoto zako,usijali kuhusu kupoteza muda kujijenga,kuna watu imewachukua miaka zaidi ya 30 kufanikiwa kibiashara,hakuna biashara isiyolipa.poleni post yangu haina paragraphs.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mkuu ni kweli kabisa, Kinacho hitajika ni Uvumilivu tu na si kingine, Tatizo kubwa ni kwamba wajasirimali wengi wanathiriwa na huu mfumo wa maisha tulio nao huku Bongo, Mfumo ambao ni Kulaumiana kila kukicha, mfumo ambao ni lazima ucangie Harusi, kipa imara, send off, Ubarikio, Gradution na kazalika, Some time hii mifumo inamfanya mjasirimali kuwa katika wakati mgumu na kupelekea kufanya biashara huku akiwaza kukusanya pesa nyingi za kugharamikia mambo kama hayo,

Ili usonge mbele kama mjasirimali, kuna mambo unapaswa kupiga chini potelea mbali hata kama watakulaumu na kukuongea kiasi gani, ni lazima tuwe siriasi, UJASIRIMALI SI MCHEZO PRACTISE YAKE INAHITAJI KUJITOA KWA HALI NA MALI,

Na hata mitaji utaona kwamba si kweli kwamba ni wote hawana mitaji, Kuna mtu anaweza lia mtaji huku ndani mwake anamiliki MUSIC SYSTEAM YA LAKI 8, anamiliki vitu kibao vya anasa visivyo kuwa na mpango, ni bora tunapolia mitaji hata maisha yetu yawe katika hali ya kuhitaji kweli mitaji, Ni kumdhihaki mungu kama tunalia mitaji huku daily mtu anatumia zaidi ya 80,000 kwa matumizi yasuo kuwa na umuhimu,

 
wajasirimali, Mwaka 2013 uwe
mwaka wa Action zaidi kuliko
Matendo.Matendo=Action,which is which? Au kuliko maneno? PM invisible akusaidie kuedit heading.

Nisha watumia Mesage but naona kimya, labuda bado wako kwenye sikukuu
 
Ndo kilichobaki maana bila kuthubutu hatutaweza
 
Ndo kilichobaki maana bila kuthubutu hatutaweza kushindana
 
Mkuu ni kweli kabisa, Kinacho hitajika ni Uvumilivu tu na si kingine, Tatizo kubwa ni kwamba wajasirimali wengi wanathiriwa na huu mfumo wa maisha tulio nao huku Bongo, Mfumo ambao ni Kulaumiana kila kukicha, mfumo ambao ni lazima ucangie Harusi, kipa imara, send off, Ubarikio, Gradution na kazalika, Some time hii mifumo inamfanya mjasirimali kuwa katika wakati mgumu na kupelekea kufanya biashara huku akiwaza kukusanya pesa nyingi za kugharamikia mambo kama hayo,

Ili usonge mbele kama mjasirimali, kuna mambo unapaswa kupiga chini potelea mbali hata kama watakulaumu na kukuongea kiasi gani, ni lazima tuwe siriasi, UJASIRIMALI SI MCHEZO PRACTISE YAKE INAHITAJI KUJITOA KWA HALI NA MALI,

Na hata mitaji utaona kwamba si kweli kwamba ni wote hawana mitaji, Kuna mtu anaweza lia mtaji huku ndani mwake anamiliki MUSIC SYSTEAM YA LAKI 8, anamiliki vitu kibao vya anasa visivyo kuwa na mpango, ni bora tunapolia mitaji hata maisha yetu yawe katika hali ya kuhitaji kweli mitaji, Ni kumdhihaki mungu kama tunalia mitaji huku daily mtu anatumia zaidi ya 80,000 kwa matumizi yasuo kuwa na umuhimu,


Kingine kigumu zaidi ni kama umeoa au umeolewa na mtu mwenye employee mentality,kila siku itakua ugomvi,wewe unapanga utoe kiasi flani kwa ajili ya business yeye hakubaliani nawe akidhani unapoteza pesa,ni nzuri kama spouse wako anaendana nawe kifikra.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kingine kigumu zaidi ni kama umeoa au umeolewa na mtu mwenye employee mentality,kila siku itakua ugomvi,wewe unapanga utoe kiasi flani kwa ajili ya business yeye hakubaliani nawe akidhani unapoteza pesa,ni nzuri kama spouse wako anaendana nawe kifikra.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ni kweli ni Lazima Mke/Mme awe na Mentality ya Biashara, Lakini akiwa mmoja anapenda biashara and then mwingine anaichukia sana kitakacho tokea ni kukatisha tamaa na kuvunjana moyo
 
mkuu umesomeka vizuri,kwa upande wangu mwaka huu lazima nianze kilimo cha umwagiliaji kwa ku2mia pampu ya upepo kwani nina ujuzi wakuitengeneza pia kuchimba visima vya umwagiliaji. ila mtajisina. kama kunam2 yupotayari kujumuika nami naomba 2wacli
 
pia kunamashamba mengi sana yaliyowazi hayalimwi, matajiri wengi wamenunua mashamba na hawayatumii kwa kilimo, mfano mashamba yanayo faa kwa umwagiliaji kwa mkoa wa dar na pwani. kimbiji,na bonde la mto ruvu na sehemu ambayo majichumvi hayapatikani
 
Mkuu @Chasha kuthubutu ni kazi kubwa sana. Mamndenyi mwishoni mwa mwaka jana nilithubutu kugawana vyumba na kuku, nilianza na kuku wa nyama 200 nimeshauza hadi leo nikupuo miwili na nategemea Mungu akipenda niwe nauze kuku 700 ndani ya siku 45. Hivyo naweze kusema kuwa ujasiriamali ni kwanza kuthubutu then unasonga mbele.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli ni Lazima Mke/Mme awe na Mentality ya Biashara, Lakini akiwa mmoja anapenda biashara and then mwingine anaichukia sana kitakacho tokea ni kukatisha tamaa na kuvunjana moyo
Muoneshe kuwa unathubutu, unaweza na unasonga mbele
 
kuunganisha mtaji ndio mpango wenyewe, sasa tatizo wabongo hatuaminiki, mmoja akiondoka kwenda kwenye mipango mingine aliyebaki anaharibu au kutaka kuiba kidogo, hata hivyo mkijiunganisha muungane mwingine hawi na nia moja ya kufanikiwa na kufika mahala fulani, tayari yeye ni kizuizi cha kusonga mbele!!
 
Back
Top Bottom